Kiranga, Mshana na Likud ni ndugu sema hawajuani tu

Beira Boy

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2016
Posts
19,976
Reaction score
32,195
Aman iwe nanyi kuna hawa washikaji kiranga, Likud na mshana. Hawa jamaa baba yao ni mmoja nahis hata mama yao atakuwa ni mmjo sema tu hawajuani

Kwanza sijawah kuwaelewa hata siku moja. Japo kiranga anaonekana kuwa MTU mwenye akili nyingi sana ambazo hazipimiki

Mshana hasomek yupo upande upi japo hukwama kwa kaka yake kiranga

Likud huyu sijui ni mjuu Wa mwanamalunde sijui ni mjukuu Wa bibi fisi yaan hata sielewagi kabisa aisee

Yote kwa yote hawa jamaa baba yao ni mmoja

LIKUD Kiranga Mshana Jr
 
akili za kiranga unazomsifia sijui ni zipi,labda za kukimbia maswali,kujibu swali na swali ,kukomalia point zilezile kila siku hata akifafanuliwa,kukiri kwamba universe ipo na haiwezi kujiumba yenyewe ila hataki kuamini aliyeumba ni mkuu kuliko vyote,kusema kuna contradiction kwenye maandiko matakatifu na kutoa maandishi mengi ya kukopi na kupesti lakini ukimwambia aseme contradiction hata moja kwenye hayo maandishi yake hawezi anakwambia hujui kiingereza.
labda hizo ndio akili nyingi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…