Kiranga, Mshana na Likud ni ndugu sema hawajuani tu

Kwamba umegombana na Kiranga....Kuna tofauti kubwa sana kati ya neno kugombana na neno Kupatana....Ingawa wale wanaogombana ni wale wanaopatana....Wapare huwa mna nini lakini[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwamba umegombana na Kiranga....Kuna tofauti kubwa sana kati ya neno kugombana na neno Kupatana....Ingawa wale wanaogombana ni wale wanaopatana....Wapare huwa mna nini lakini[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]malumbano ya hoja sio ugomvi
 
Nambie kwanza Akili nini?

Ivi utamuuliza vipi mtu wa njombe kama anakunywa mbenge au hanywi wakati hata hiyo mbege haijui?


Saaa ndo mimi unaniuliza kama nina akili au sina wakati sijui akili nini
Una akili au huna akili
 
Nambie kwanza Akili nini?

Ivi utamuuliza vipi mtu wa njombe kama anakunywa mbenge au hanywi wakati hata hiyo mbege haijui?


Saaa ndo mimi unaniuliza kama nina akili au sina wakati sijui akili nini
Jitahidi kuwa na utunzi binafsi hii copy n paste haikunogi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…