VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,137
- 17,908
Sasa na wewe unajiitaje Mzee wakati sisi wengine hili swala tumelifahamu tangia miaka ya sitini? Yaani unataka sie tujiitaje sasa?Tangu ujana wangu na kusoma kwangu,sijawahi kujua kirefu cha maneno maarufu Barani Afrika : MAU MAU. MAU MAU lilikuwa jina la vuguvugu za kupigania na kudai Uhuru nchini Kenya katika miaka ya 1950. Vuguvugu hili lilikuwa likiongozwa na Dedan Kimathi,Jomo Kenyatta na wengineo. Ni vuguvugu hili lililosaidia Kenya kupata Uhuru mnamo mwaka 1963.Kirefu cha MAU MAU ni : Mzungu Arudi Ulaya,Mkenya Apate Uhuru.Nimefurahi sana leo. Mwenzangu vipi? Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
Hakika kua uyaone, ila sio magorofa. Huyu jamaa nahisi alisoma kipindi elimu ilipokuwa elimuMAUMAU= Mzungu Arudi Ulaya,Mkenya Apate Uhuru.
MAUMAU= Mzungu Arudi Ulaya,Mkenya Apate Uhuru.