Kiroho safi Wema Sepetu amemtakia Zarithebosslady happy birthday

Kiroho safi Wema Sepetu amemtakia Zarithebosslady happy birthday

Ila Wema mibangi yako inapoamkiaga ...Si uwakaushie tu watu na mambo yao mbona Penny, Jokate wamemove on? Wewe tu, mara oooh Dillan anafanana na chibu alivyokuwa mtoto! Wee ulimzaa chibu? Au utotoni ulicheza nae? Too much kujipendekeza na ndo maana yale mateam yanakuchamba!

Na ni kweli unajipendekeza kwa Zari na unataka kuwa nae karibu kwani uwongo?...ungejua huyo mbibi anavyokuhate kuliko hata mademu wote was Domo! Yaani bora hata Hamisa kuliko wewe[emoji23] [emoji23] full kuchoreka ....Stop t bana!
Duh!!!
 
Umba wako wanaozaa asubuhi mchana na jioni..........mchawi kasoro tunguli weee
Potelea mbali shetani mkubwa..[/QUOTE]
Shetani we unayejua km ni mgumba mana unaujua mwsho wake......shubahamiti ww
 
Umba wako wanaozaa asubuhi mchana na jioni..........mchawi kasoro tunguli weee
Potelea mbali shetani mkubwa..[/QUOTE]
Umejuaje hana tunguri?Watu wenye kumkosoa Mungu mara nyingi hata tunguri ni sehemu ya furaha yao
 
ata kama ni mnafiki ila kafanya vizuri big up no one perfect

sometime malaika wa heri hutembelea motoni
 
Ila Wema mibangi yako inapoamkiaga ...Si uwakaushie tu watu na mambo yao mbona Penny, Jokate wamemove on? Wewe tu, mara oooh Dillan anafanana na chibu alivyokuwa mtoto! Wee ulimzaa chibu? Au utotoni ulicheza nae? Too much kujipendekeza na ndo maana yale mateam yanakuchamba!

Na ni kweli unajipendekeza kwa Zari na unataka kuwa nae karibu kwani uwongo?...ungejua huyo mbibi anavyokuhate kuliko hata mademu wote was Domo! Yaani bora hata Hamisa kuliko wewe[emoji23] [emoji23] full kuchoreka ....Stop t bana!
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji6] [emoji124] umeuaaaa
 
Adui yako muombee njaa ishampata sasa unampaka mafuta kwa mgongo wa chupa
 
Back
Top Bottom