Hahahaha kwa mbinde???YANGA Africa ya Dar es salaam klabu pekee inayo miliki Swimming Pool hatimae Leo imekipata kipigo cha mbwa koko kutoka kwa Mbao FC ya Mwanza Kwa bao 2-0 jioni kweupeeee.Mbao FC imeupata ushindi Kwa MBINDE.
ndala fc fukuza wachezaji bakiza kochaYANGA Africa ya Dar es salaam klabu pekee inayo miliki Swimming Pool hatimae Leo imekipata kipigo cha mbwa koko kutoka kwa Mbao FC ya Mwanza Kwa bao 2-0 jioni kweupeeee.Mbao FC imeupata ushindi Kwa MBINDE.
Hahahaah
Mamame[emoji16][emoji23][emoji23][emoji16][emoji23][emoji16][emoji16]
Jamani duuh!
BAK uchokozi huo.
Hahaaa. Niliivua baada ya goli la kwanza tu.Hapana najaribu kukusaidia ili uuage 2017 vizuri na pia kuukaribisha 2018 vizuri bila maumivu wala donge. Jezi uliyovaa leo umeshaivua? ππ
Hahaaa. Niliivua baada ya goli la kwanza tu.
Ahsante kwa ushauri.
Hahaaa. Si unajua Emmy moyo wake haupendi maumivu sasa alivyoona goli la kwanza na akiangalia jezi yake akajikuta anatamani kulia.Ndiyo makosa uliyoyafanya ulitakiwa uendelee kuivaa tu mngeweza kusawazisha na kushinda 3-2 au hata 4-2 LoL!
Hahaaa. Si unajua Emmy moyo wake haupendi maumivu sasa alivyoona goli la kwanza na akiangalia jezi yake akajikuta anatamani kulia.
Ila ndio hivyo, nashukuru kwa yote tu sababu hata majuzi kuna Bingwa alivuliwa ubingwa na timu ya daraja sijui la ngapi lileee. [emoji12] [emoji12] [emoji12]
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]Oyoooo kumbe yanga wamepigwaaaaaaaaaa hahahahahahahahahhaha asante mbao FC.
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] leo hii ndio kombe la mbuzi. Ubingwa wake mlishangilia kupita maelezo.Hahahahaha lol! Mashindano mbuzi yale ya vikombe uchwara usiyape uzito mkubwa.
Emmyta wew yanga ??????huyoooooooo huyooooooooo.[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] leo hii ndio kombe la mbuzi. Ubingwa wake mlishangilia kupita maelezo.
Haya bana. Nakubali matokeo ndio mpira ulivyo na siku zote una matokeo matatu.
Pole sanaaaa. Inaelekea unapenda kuweka roho yako juu sio bure.Emmyta wew yanga ??????huyoooooooo huyooooooooo.
Daaah nakumbuka nilipokua A level , mschana Wangu anashabikia Yanga ,Mimi simba [emoji23] [emoji23] [emoji23] haaaaaaaaa ilikua nipatashika siku yanga akishinda !!.
Siwapendi yanga haooooo siwapendi balaaa.
Hahahaaa. Hamkosi sababu. Ila poleni sana.Si unavijua hivi vitimu vya mchangani. Huwa vinapiga buti ile mbaya hivyo ni bora kuviachia vishinde tu kuliko wacheza waumieπππ
Hahahaaa. Hamkosi sababu. Ila poleni sana.