P pamba boy Senior Member Joined Jun 26, 2013 Posts 181 Reaction score 266 Sep 30, 2013 #1 Shule ya sekondari kirumba ilemela mwanza imeshinda katika uandishi wa insha ya Utalii.Washindi wote watatu wametoka kirumba sekondari ambayo ni shule ya Kata.Waziri Nyarandu alikuwepo katika kilele na utoaji wa zawadi.
Shule ya sekondari kirumba ilemela mwanza imeshinda katika uandishi wa insha ya Utalii.Washindi wote watatu wametoka kirumba sekondari ambayo ni shule ya Kata.Waziri Nyarandu alikuwepo katika kilele na utoaji wa zawadi.
Mpigamsuli JF-Expert Member Joined May 24, 2012 Posts 3,885 Reaction score 582 Sep 30, 2013 #2 Hongereni
paparazzi JF-Expert Member Joined Sep 28, 2013 Posts 572 Reaction score 145 Sep 30, 2013 #3 Hongereni vijana wa mulugo.. Kwani hayo mashindano yalikuwa ya ngazi gani?? ,isije ikawa ngazi ya kata...
Hongereni vijana wa mulugo.. Kwani hayo mashindano yalikuwa ya ngazi gani?? ,isije ikawa ngazi ya kata...