#COVID19 Kirusi cha corona kimejibu mapigo dhidi ys chanjo: Kimejibadilisha na kutokea Super Corona Variant Nu!!

JPM atabakia hero dunia nzima kwa msimamo wake kuhusu corona.

Kama mataifa yaliyochanja raia wake karibia wote lakini bado yanatapatapa, maana yake chanjo haiwasaidii. Watu wamrudie Mungu ndio suluhisho la kweli.
Wajerumani wamesema wanaoambukizwa asilimia kubwa ni ambao hawajachanja lakini hata baadhi ya ambao wamechanjwa wamepatikana +ve.

Hiki kirusi kinaishangaza dunia hasa dunia ya ngozi nyeupe.
Hiki kirusi hakina ubavu sana kwa mwafrika aliyepo Afrika. Kinaua lakini siyo kama kinavyowaua wenzetu ngozi nyeupe.

Waingereza kwenye summer walijiachia wakidhani Vaccine imeishinda korona, kumbe korona alikuwa anasubiri baridi ianze ili aanzishe jambo lake.

Hivi sasa Ulaya imetaharuki.
 
Ajabu mpaka sasa sijasikia kauli ya serikali kuhusu ku restrict wasafiri wanaotoka South Africa na nchi jirani. Mpaka yatufike ndio tuchukue hatua?
 
JPM atabakia hero dunia nzima kwa msimamo wake kuhusu corona.

Kama mataifa yaliyochanja raia wake karibia wote lakini bado yanatapatapa, maana yake chanjo haiwasaidii. Watu wamrudie Mungu ndio suluhisho la kweli.
Ila we nawe lijinga sana atabakia kuwa hero wa kuzimu? wakati covid imesha mtanguliza kuzimu na u hero? wake hivi una akili kweli kumshabikia mtu aliye shindwa ?
 
Hapa kuna picha linatengenezwa, kwa Africa bado kuna upingwaji mkubwa wa hizi chanjo, ndiyo maana hizi series za Covid zitaendelea kuibukia Africa.. usishangae toleo lijalo likaanzia Tanzania.
 

wewe mungu amekuumba uje duniani kufanya nini?
 
Tushachoka sasa
 
Ukweli mchungu Ni kwamba kuna mazombie yanadhani dunia tuliyonayo inaenda naturally. HELL NO!

Kila tunachokiona nyuma yake Kuna wanaume wanaolenga ku achieve Jambo fulani

Tusidhani wale jamaa wa NASA wakienda kule anga za mbali wanaenda kuota jua na kurudi!

Macho haya ya nyama yanaona vitu vichache tu......

Asante Mungu umetupa akili japo Kila mmoja anaitumia kwa risk yake mwenyewe
 
Tatizo ukisoma sana pia ukaribu na Mungu unapotea.

Ni lazima kujua ni nyakati gani tulilzo sasa, we are in the end times, shetan nae kwa kujua kuwa muda umeisha anatafuta njia mbalimbali za kukusanya watu, ikiwemo via COVID-19.

I beseech u, do not take COVID 19 vaccine.


Tumrudie Mungu yepekee ndio hashindwi
 


He thinks smaller than an electron.
 
Matapeli wa corona watakupinga huku wanafoka na kurusha mate.

Corona ni utapeli mtupu!! Dunia imevaa sketi hii.

Ajenda nyuma ya corona lazima itakuwa ni ajenda ovu mno na tishio dhidi ya mustakabali wa binadamu — Genetically or spiritually.

Maana sielewi serikali za dunia zimewezaje kueneza ulaghai wa corona kiasi hiki? Kwa ajili ya kitu gani? Tena kwa makusudi!!?

Dunia yetu inaelekea ukingoni. Something is going to happen.
 
Ujuaji mwingi mbele giza, mbona hao wanasayansi wako hawajagundua hadi leo hii chanzo cha uwepo wa viumbe vyote hai ni nini?

Mbona hawajajua kinga dhidi ya kifo na baada ya kifo roho za viumbe hai zinarudi wapi?
 
Kwani Mjambiani anasemaje???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…