#COVID19 Kirusi kipya cha Corona, Deltacron chagunduliwa

#COVID19 Kirusi kipya cha Corona, Deltacron chagunduliwa

Kuna kiruai kingine tena kinaitwa Marburg kipo West Africa huko. Kila kukicha ni virusi vya kutengeneza wameshagundua Kuna hela ya bure, unatengeneza kirusi then unatengeneza chanjo.

Wazungu washenzi sana.
Hakika..
 
Bado kuna kingine kitaitwa Deltaflucron =Delta + Flu + Omicron 😁
 
Kirusi kipya cha korona kilichotokana na muunganiko wa virusi vya delta na omicron kimegunduliwa huko nchini Cyprus

Kirusi hicho kipya kilichopewa jina la Deltacron mpaka sasa kimegundulika kwa watu 25 tu huko Cyprus na bado haijawa wazi uhatari wa kirusi hiki ukilinganisha na virusi vya delta & omicron

Hofu, hofu, hofu, mwili una natural immunity, walinzi wake. Kila siku unapigana na wavamizi (magonjwa) magonjwa zaidi 1000 bila wenye hata kujua.

Muhimu pata lishe nzuri, matunda mboga, samaki, kunywa maji, hewa nzuri, mazoezi, tembea kidogo mwamini Mungu, ondoa hofu.
 
Tumefikia booster ya ngapi?
Share zangu za Pfizer siuzi ng'o!

Ndebile ongeza na za Moderna. Utakuwa billionares soon. Tunza pesa yako, hadi watangaze lookdown. Kuwafungia wath

Biashara zote zikifungiwa, zitafilisika utaweza kuzinunua kwa bei poa pamoja na nyumba viwanja.
 
ni mwendo wa kupiga boosters tu...😊
 
Dunia yote inabidi ichanjwe.

Djokovic amefungiwa Gerezani kule Australia, hotel moja na wazamiaji kwa kukataa chanjo. Polepole tutafika.
 
Back
Top Bottom