Kisa cha ajabu kabisa katika mapenzi

Kisa cha ajabu kabisa katika mapenzi

Poker

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2016
Posts
5,445
Reaction score
14,828
Kuna jamaa yangu alikuwa na demu wake mzuri kweli, ila demu akasema hataki sex mpaka waoane.

Jamaa yangu akaona sio hiyana akaamua kumwoa, sasa katika usiku wa fungate wakiwa huko Kruger national park si ndio kumbananisha demu atoe mzigo, katika purukushani ya vuta nikuvute kamvua demu!

Duh makubwa ya Dunia kakutana na mnara unaning'nia yaani demu ana uume. Jamaa kakimbia akipiga kelele kwa hofu ya kupelekewa. Kwa sasa yupo nchini ila anafanyiwa kanselin na demu yupo kenya kagoma kurudi nchini.

Kumbe kuna wanawake wana mashine kama wanaume ndio njmejua hi wiki!
 
Hee hizo sms kumbe zimekuuma pole ongeza bidii utanifikia
0.5% ya messages ni zako unajaza tu server ndio maana app kila siku inastuck!
Screenshot_20220603-224716.jpg
Screenshot_20220604-223307.jpg
 
Kuna jamaa yangu alikuwa na demu wake mzuri kweli, ila demu akasema hataki sex mpaka waoane. Jamaa yangu akaona sio hiyana akaamua kumwoa, sasa katika usiku wa fungate wakiwa huko Kruger national park si ndio kumbananisha demu atoe mzigo, katika purukushani ya vuta nikuvute kamvua demu! Duh makubwa ya Dunia kakutana na mnara unaning'nia yaani demu ana uume. Jamaa kakimbia akipiga kelele kwa hofu ya kupelekewa. Kwa sasa yupo nchini ila anafanyiwa kanselin na demu yupo kenya kagoma kurudi nchini.
Kumbe kuna wanawake wana mashine kama wanaume ndio njmejua hi wiki!
Chai😁😁
 
Duuuh ni hatare sms 217,327, ila atakuwa ndo wanzilishi wa JF
 
Kuna jamaa yangu alikuwa na demu wake mzuri kweli, ila demu akasema hataki sex mpaka waoane. Jamaa yangu akaona sio hiyana akaamua kumwoa, sasa katika usiku wa fungate wakiwa huko Kruger national park si ndio kumbananisha demu atoe mzigo, katika purukushani ya vuta nikuvute kamvua demu! Duh makubwa ya Dunia kakutana na mnara unaning'nia yaani demu ana uume. Jamaa kakimbia akipiga kelele kwa hofu ya kupelekewa. Kwa sasa yupo nchini ila anafanyiwa kanselin na demu yupo kenya kagoma kurudi nchini.
Kumbe kuna wanawake wana mashine kama wanaume ndio njmejua hi wiki!
Alikutana na li shemale huyo[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Messages 217,327 kwa kucomment eti ( duh pole yake)
Na kuna lile lipumbavu lenyewe kila thread uwaga linacoment[emoji117] ''wanakuja kukupa muongo". Haya majitu ni basi tu hayakustahili kuwepo jf, yaan mtu unashindwa kweli kuchangia la maana adi uwe mpuuzi mpuuzi kwa kucoment vifupi na reply za kujirudia daily...moderators wawaondoe hawa watu, ama vip tuanze kuwaripoti
 
Back
Top Bottom