Kisa cha ajabu kabisa katika mapenzi

Kisa cha ajabu kabisa katika mapenzi

Na kuna lile lipumbavu lenyewe kila thread uwaga linacoment[emoji117] ''wanakuja kukupa muongo". Haya majitu ni basi tu hayakustahili kuwepo jf, yaan mtu unashindwa kweli kuchangia la maana adi uwe mpuuzi mpuuzi kwa kucoment vifupi na reply za kujirudia daily...moderators wawaondoe hawa watu, ama vip tuanze kuwaripoti
@Smart911
 
Mke na mume mmenikalia kooni jamani angalieni msije pigana risasi kwa wivu. sms zimezua jambo
Mnatekenyana wenyewe na baridi hii daah wakubwa mnafaidi
And that's what you're good at. Hujawahi kuwa positive minded!

Anyway, furahia jf bibie, kila mtu na life lake.
 
Ungekua positive usingejichekesha chekesha kwa kidume chenzio hapo,what a victim.Shame
And that's what you're good at. Hujawahi kuwa positive minded!

Anyway, furahia jf bibie, kila mtu na life lake.
 
m
Na kuna lile lipumbavu lenyewe kila thread uwaga linacoment[emoji117] ''wanakuja kukupa muongo". Haya majitu ni basi tu hayakustahili kuwepo jf, yaan mtu unashindwa kweli kuchangia la maana adi uwe mpuuzi mpuuzi kwa kucoment vifupi na reply za kujirudia daily...moderators wawaondoe hawa watu, ama vip tuanze kuwaripoti
mtu si anakoment anachojisikia, hebu punguzeni nongwa wanasema " baya lisilokudhuri ni sawa na jema lisilo na faida kwako "
 
Mbona wapo wengi tu,
Tena Tz hii hii wazuriii, ngozi laini, saa sita kifuani, hawana ndevu wala sauti nzito, kasoro tu wana madushe hapo utachagua mwenyewe kusuka au kunyoa.

Sio Chai kama mnavyodhani.
 
kucheka sio shida kujichekeaha na kuonea wivu sms laki mbili imenishangaza kumbe hizo sms zinawauma wengi.
eroni a victim.Shame
Kucheka mbele ya mwanaume mwenzangu ni shida? What do you mean 'victim'? Shame on you as well!
 
kucheka sio shida kujichekeaha na kuonea wivu sms laki mbili imenishangaza kumbe hizo sms zinawauma wengi.
eroni a victim.Shame
Basi yaishe numbing mshkaji wangu, nakuja pm kukupiga mtongozo wa karne, najua upo bitter ila nikikupiga mtongozo mzuri tutakaa sawa😛
 
PM nimefunga. Mkuu ukitaka heshima jiheshimu usidhani kila mwanamke aliyepo humu anajiuza. Una genye dada zako wapo huko ulipo malizana nao.

Mtoto wa kiume kuonea wivu wingi wa sms inashangaza. Hazina malipo mkuu ni pambo tu hilo. Kila mtu ana style yake ya kuishi mitandaoni.

Duniani tupo tofauti,inashangaza kumchukia mtu kisa mapambo ya JF yasiyo na thamani popote pale.

Take a chill pill,usijiangamize kwa chuki zisizo na faida

Anyway gazeti lote hili ni malipo ya zile kero unazokutana nazo kwenye comments zangu za aisee,duh,dah,pole yake. Sikujua huwa mnaumia hivyo

Daah nawaonea huruma sana mnaumizwa na vitu vidogo vidogo ambavyo havina faida yoyote kwenye maisha yenu wa accounts bank zenu.

Pole

inashangaza

inasikitisha sana

inawaumiza

duh

aiseee
Basi yaishe numbing mshkaji wangu, nakuja pm kukupiga mtongozo wa karne, najua upo bitter ila nikikupiga mtongozo mzuri tutakaa sawa😛
 
Mbona wapo wengi tu,
Tena Tz hii hii wazuriii, ngozi laini, saa sita kifuani, hawana ndevu wala sauti nzito, kasoro tu wana madushe hapo utachagua mwenyewe kusuka au kunyoa.

Sio Chai kama mnavyodhani.
Kama unaye mmoja kama best yako naomba uniunganishe naye
 
PM nimefunga. Mkuu ukitaka heshima jiheshimu usidhani kila mwanamke aliyepo humu anajiuza. Una genye dada zako wapo huko ulipo malizana nao.

Mtoto wa kiume kuonea wivuwingi wa sms inashangaza. Hazjna malipo mkuu ni pambo tu hilo. Kila mtu ana style yake ya kuishi mitandaoni.

Duniani tupo tofauti,inashangaza kumchukia mtu kisa mapambo ya JF yasiyo na dhamani popote pale.

Take a chill pill,usijiangamize kwa chuki zisizo na faida

Anyway gazeti lote hili ni malipo ya zile kero unazokutana nazo kwenye comments zangu za aisee,duh,dah,pole yake. Sikujua huwa mnaumia hivyo

Daah nawaonea huruma sana mnaumizwa na vitu vidogo vidogo ambavyo havina faida yoyote kwenye maisha yenu wa accounts bank zenu.

Pole

inashangaza

inasikitisha sana

inawaumiza

duh

aiseee
Badi yaishe mkuu,
Hapa sasa umeniandikia gazeti mkuu. Ila sina chuki wala na huwa sichukulii mambo personal...sema nikawa nazishangas hizo duh kila thread.

Mtongozo kwa ke kama wewe ni kawaida wala sio kujiuza Bwana, relax!!
 
Kuna jamaa yangu alikuwa na demu wake mzuri kweli, ila demu akasema hataki sex mpaka waoane.

Jamaa yangu akaona sio hiyana akaamua kumwoa, sasa katika usiku wa fungate wakiwa huko Kruger national park si ndio kumbananisha demu atoe mzigo, katika purukushani ya vuta nikuvute kamvua demu!

Duh makubwa ya Dunia kakutana na mnara unaning'nia yaani demu ana uume. Jamaa kakimbia akipiga kelele kwa hofu ya kupelekewa. Kwa sasa yupo nchini ila anafanyiwa kanselin na demu yupo kenya kagoma kurudi nchini.

Kumbe kuna wanawake wana mashine kama wanaume ndio njmejua hi wiki!
Kapicha vipi mkuu?[emoji39]
 
Back
Top Bottom