Kisa cha aliyegongwa na mwendokasi (Osman): Kinahuzunisha, kinafundisha na kushangaza

Nakazia

NIDA waboreshe taarifa za Watanzania kwenye Vitambulisho wangeScan kidole cha mhanga pale pale taarifa za DADA, KAKA, WATOTO, BABA nk zingeonekana na wajulishwe. Hizi habari za mgonjwa kakosa ndugu karne ya 21 ni upuuzi.

Hii itasaidia CITY kutozika ndugu zetu ambao tunawatafuta bila mafanikio. Hili nalo wakaliangalieee
 
Huenda Osman aliaga anaenda Mtwara atakaa wiki 2 ndipo arudi Dsm.
Vinginevyo familia yake hawako siriazi.
 
Hizi kiki tunazitafuta kwa maumivu ni kukosa utu. May be ndio nini?
Haya hujafa hujaumbika
 
 
Majilani wasingekausha pangetokea minong'ono tu.
Hisia hizi ni zako na hazina msingi wowote....unawasingizia MAJILANI BULE
 
Mimba ya Osman mpya una maana gani?
Kwamba kupitia tukio hili kumezaliwa tabia mpya kuanzia kwa mhanga hadi jamii yote kwa ujumla mfano kama bwana Osman alikuwa na tabia ya kutoka na hata kama atachelewa anakuwa hapigi simu kutoa taarifa atabadilika, kama mke wa Osman hana tabia yakumpigia simu mumewe mara kwa mara, atabadilika, kama wana jamii hawajaliana kwa kuulizana hali kila baada ya muda mfupi, watabadilika, hilo ndio somo nilivyolielewa, imekuwa wamezaliwa upya au wamefunzwa tabia mpya
 
Ni uzembe tu wangetaka mjua wangemjua kupitia NIDA, NEC finger prints
Ndugu je ni kila mwana jamii anavyo hivyo? Kuna watu wana changamoto na ukimwambia hivyo vitu sijui anaviona kama unamwambia nini? Nina mwanangu mmoja nikikwambia hana NIDA wala cha kura hauwezi kuamini😂😂😂😂😂
 
Ni uzembe tu wangetaka mjua wangemjua kupitia NIDA, NEC finger prints
Nani ana muda huo? Nchi hii tena kwa masikini!! Angekuwa ni mzungu asiwe hata na kitambulisho chochote kile ,siku ile ile angetambulika!! Wao kama hutambuliki na umekufa wanazika tu.
 
Hayo ndio maisha ya jamii masikini!!sio rahisi kusema eti tukio hili litabadirisha kitu kwani ndio tukio la kwanza?baba anenda kutafuta kazi hata siku tatu,na hajui hali ya nyumbani kwani anajua alichowaachia kitaisha baada ya siku hizo!!
 
Ile footage ya CCTV siyo rahisi kumfahamu huyo bwana tena jirani tu, ukizingatia alikuwa ameipa mgongo camera.

Hivyo vyombo si vina bima? Bill ya hospital ina wenyewe tena hospital itamsaidia ku-process ili wadake chao mapema!

Ingekuwa magari yaliyohusika hayajulikani ingekuwa mziki.

Nachojiuliza: Ina maana wafanyakazi wenzie huko ferry walipoona kimya hakuna hata mmoja wa kumtafuta nyumbani kwake?

Hana hata rafiki wa kumuulizia kwa mkewe baada ya kumkosa kijiweni?

Ni lifestyle ya hovyo mno hii.
 
YAMKINI
 
Uswahilini kwetu simu ya kupyatila ni ishu kubwa na aliyenayo basi anatumia Facebook na YouTube kucheki mastaa wamefanya nini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…