Kisa cha aliyegongwa na mwendokasi (Osman): Kinahuzunisha, kinafundisha na kushangaza

Ina maana mume na mke huwa hawapeani taarifa mmoja anaposafiri kama amefika salama!?
Nomekwambia YAMKINI anatoweka kama UMEME na anarudi kama UMEME huoooooo
 
Osman apate mwanasheria wakuhahakikisha analipwa kila tone la stahiki zake (afidiwe)
*ulemavu km utajitokeza
*muda wa kuwa nje na shughuli zake
*kadhia nyngine alizopitia na anazopitia baada ya ajali
#Osman Kwanza
 
Ni uzembe tu wangetaka mjua wangemjua kupitia NIDA, NEC finger prints
hayo ni ya kwako wewe mjuaji, hivi huko mitaani unadhani mke wake atakumbuka fingerprints? Au una uhakika gani kuwa anacho kitambulisho cha NIDA au NEC? kuna wengine mpaka leo wamepewa namba tu bado hawana vitambulisho
 
  • YAMKINI kwakuogopa bili ya hospitali (gharama za matibabu) mke,ndugu na jamaa waliamua kukausha! (May be)
Bima ndo inatakiwa kulipa haya yote. Inakuaje anatelekezwa hospital?
 
Ingekua nchi zingine Bwana Omary sasa hivi ni Tajiri kwa pesa ambayo angelipwa.

Hata hapa hapa Africa ingekua ni nchi kama South Africa asingekosa kima cha chini kabisa 150 millions.
Samahani mkuu....
Hivi 150 miluons ni utajiri??
 
Majibu ya hayo yote ni mepesi tu kwamba UMASKINI HULETA TABIA YA KINYAMA!
Ninaposema tabia ya kinyama sina maana tabia ya kikatili bali namaanisha Umasikini huzalisha tabia yakutojali!
Hii ni kweli asilimia 💯
 
Mke wa Osman anaitwa nani na je ni mke mdogo au mkubwa? Ili nitoe ushauri
 
Samahani mkuu....
Hivi 150 miluons ni utajiri??
Utajiri ni relative term. Yaani inategemea na hali yako ya kiuchumi wakati unaipata hiyo fedha. Kwangu ambaye sijawahi kuishika 5,000,000 ya pamoja, kuishika millioni 150 nahesabu huo ni utajiri. Ila kwa yule mwenye bilioni na zaidi inawezekana ni pesa ndogo tu kwake.
 
Huna ukichoandika, ile CCTav haikuonyesha sura na si rahisi kumjua. Na mtu alishaaga anaweza kusafiri na chonbo, sasa wasiwasi utoke wapi
Zipo clip 2 nyingine huenda hujaiona mkuu, ipo wananchi wanamrekod badala ya kumsaidia amelowa damu kalala chini na alikua anapumua iyo alionekana vzr tu ipo humu humu Jamii forums.
 
Basi sawa mkuu, mie niliuliza swali tu ili nipate ufahamu
 
Umeandika mambo mengi yaliyojaa hisia tupu.
Kwani wewe kwanini huamini kwamba mke wake aliagwa kama hatorudi nyumbani atasafiri?
Kwani amepata ajali feri kwenye kivuko hadi apatwe na taharuki?

Inawezekana akisafiri hawafanyi mawasiliano ya marakwamara hivyo kukitokea tatizo inakua ngumu kutambua.
Kwani wewe tukikuambia utupe hiyo video iliyoonekana mtandaoni unaweza ukagundua kama yule mtu ninani?
Unafikiri kama familia walijua wakaamua kunyamaza(jambo ambalo nihisiatu) je majirani walisema wakaambiwa tulieniiiii?
Video ile sidhani kama unaweza ukamtambua yule ninani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…