Kisa cha aliyegongwa na mwendokasi (Osman): Kinahuzunisha, kinafundisha na kushangaza

Sitashangaaa bill na gharama za matibabu zikimuangukia jamaa bila kupewa hata mia. Nchi hiii iiiii
 
Kuna mazingira ni hatari, ukitoka kama hujatoka na usipotoka kama hujatoka tu! Yaani uko full viduku, la 4 kama chuo, watoto wana watoto, unasonga ugali mboga maharage ya kupimiwa na mwiko, mwiko 300, wenye kunywa supu ya mapupu au ngozi ya ng'ombe baki! MAE! Wake kwa waume wanabet tu hakuna uzingativu wa 18+ hadi watoto ktk Dubu😂 hapo mke hamjui mume wala mume hamjui mke na ikitokea mmojawapo kakutwa na la kukutwa Mungu jaalia mwanajamii amgumie kinyume na hvyo mwenzako anapiga hesabu kuwa umeenda kupiga show ya ndondo nae anatafuta wake😂
 
Up to all yule jamaa wa gari ndogo alikamatwa?, maana kwenye sinema hapo anaonekana alimenya mbuga kwa speed kubwa sana.
Na yeye yupo ICU hapo hapo MNH somebody Jumbe Mohammed ,ile gari ukiiangalia ile video vizuri utaona baada ya kupigwa ilielekea uelekeo wa kushoto sasa kule ilienda kujipiga ukutani airbags zikafunguka na driver alibanwa na steering,ameumia sana kwa ndani hakuna alipovunjika hali yake ilikuwa mbaya ila toka juzi jumamosi ilikuwa imetengamaa kidogo.

Ktk biashara yangu nina mteja wangu tunafahamiana sana jana nilikuwa na ahadi nae sasa akawa amekuja nje ya wakati ktk kujitetea tetea ndo kuniambia ktk hii ajali dereva alikuwa mjomba'ake muajiriwa wa Rwandan Air (hata gari aliyopata nayo ajali ni ya shirika hilo na pale alikuwa na safari ya airport)so walikuwa na process za kumfanyia dhamana pale kituo cha kati kutokana na pale hospital pana askari kila saa mgonjwa wao akipata nafuu akiona mazingira yale anazidiwa upya wakaomba wamdhamini askari waondolewe ili kila siku wawe wanaenda wao ku-report central.
 
..."Kanzu data"...huu ni msamiati mpya umetupa na like nimekupa.
 
Bonge la article, magazeti yangechukua article kama hizi pia na kuziweka kwao
 
Hayo ndo maisha ya uswazi ndo maana sikushangaa mke wake kutokujua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…