Kisa cha Harmonize kukimbia WCB Wasafi na kisa cha Dogo janja kumkimbia Madee Ali

Kisa cha Harmonize kukimbia WCB Wasafi na kisa cha Dogo janja kumkimbia Madee Ali

Siku Hamonize akitoa wimbo kila kitu kitabaki uchi kwa sasa tutaongea mengi lakini wakati utasema kweli.
Combination ya Fella+Tale+Sallam ni future ya entertainment industry ningekuwa ni mimi nisingekaa mbali na awa watu.
Navykenzo walikuwa wana simamiwa na Sallam SK Lakini walizid kushuka kimziki mpaka wameamua kujitoa kwake,sasa hapo Unasemaje,sema hivi wale mameneja wote wana tembelea nyota ya Mond ndo kinacho Fanya tuwaone kama ni vichwa kumbe tu ni mchwa ulio jificha pale WCB kunyonya wale wasanii pale.
 
Usichokijua ni

Dogo janja wakati yupo chini ya madee, karibia nyimbo zoote alitungiwa na madee ikiwa pamoja na na promo na kila kitu na ndomana wakati ule mistari ya wakati ule ilikua ya kiutu uzima ilikua tofauti na umri wake

Ukija kwa hamo , hamo amemsaidia sana diamond hasa kwenye uandishi, hata style za melody hamo amempita dai mbali sana

Mziki wa dai ni mwepesi sana na ndio maana bila kick za insta aufiki mbali
Unaongea utumbo Sana eti style za Melody za harmo amempita Mondy?aah aah harmo anamwiiga Mondy Kila kitu Hana kitambulisho chake Cha mziki.
 
Diamond alimchukua harmonize kwasababu alimuona ni threat kama atakua atakuja kumfunika. Ila harmonize ajiangalie sana jembe ni jembe ni mnafiki sana atakuja kumuacha kwenye mataa atashangaa. WCB wanaweza kumkuza mbosso kuja kuziba pengo la harmonize
Mboso habadiliki Melody za mziki wake kama zinafanana hivi...!! Yani ukisikia nyimbo zake zina mahadhi yanayofanana ila Harmonize anabadilika sana sanaa yani
 
Katoa wimbo unaitwa inabana kumbe ujui? Na imeshindwa kufanya vizuri kuanzia viewers mpaka mtaani ndo ujue nguvu ya WCB ilikuwa ilikuwa inambeba sana
Kwahiyo Views Ndo Mziki,

Hivi Mbona Kizazi Hiki Mmekuwa Viazi Sana.

Kwanza Huo Wimbo Ni Kolabo Ya Pamoja Na Eddy Kenzo.

Ishtoshe Ni Kawaida Tu. Mbona Diamond Na Rayvanny Wametoa Wimbo Wao "Timua Vumbi" Umebuma Hamzungumzi ?
 
Kwahiyo Views Ndo Mziki,

Hivi Mbona Kizazi Hiki Mmekuwa Viazi Sana.

Kwanza Huo Wimbo Ni Kolabo Ya Pamoja Na Eddy Kenzo.

Ishtoshe Ni Kawaida Tu. Mbona Diamond Na Rayvanny Wametoa Wimbo Wao "Timua Vumbi" Umebuma Hamzungumzi ?
Imebumaje wakati ulikuwa usikika mtaani lakini pia ulikuwa una viewers wengi
 
Diamond alimchukua harmonize kwasababu alimuona ni threat kama atakua atakuja kumfunika. Ila harmonize ajiangalie sana jembe ni jembe ni mnafiki sana atakuja kumuacha kwenye mataa atashangaa. WCB wanaweza kumkuza mbosso kuja kuziba pengo la harmonize
Kumkuza mbosso ili azibe pengo la harmonise sio rahisi. Kwasababu uwimbaji wa mbosso ni Kama vile anawaimbia watu wa Mombasa Zanzibar comoro na shelisheli, wakati wa harmonise anawaimbia watu wa dunia mzima hasa vijana, Kama vile Tanzania Ghana Nigeria marekani Uganda Mozambique and South Africa.
 
Kwahiyo Views Ndo Mziki,

Hivi Mbona Kizazi Hiki Mmekuwa Viazi Sana.

Kwanza Huo Wimbo Ni Kolabo Ya Pamoja Na Eddy Kenzo.

Ishtoshe Ni Kawaida Tu. Mbona Diamond Na Rayvanny Wametoa Wimbo Wao "Timua Vumbi" Umebuma Hamzungumzi ?
Kiufupi harmo hatakuja kutoa hit Kali tena Kama mwanzo cos mashabiki wa wasafi wengi waliokuwa wanamsapoti wamemuacha hata ukiangalia ile attention alizokuwa anaipata WCB sasa haipati
 
Kumkuza mbosso ili azibe pengo la harmonise sio rahisi. Kwasababu uwimbaji wa mbosso ni Kama vile anawaimbia watu wa Mombasa Zanzibar comoro na shelisheli, wakati wa harmonise anawaimbia watu wa dunia mzima hasa vijana, Kama vile Tanzania Ghana Nigeria marekani Uganda Mozambique and South Africa.
Me namuona rayvanny ndo atafanya vizuri Sana nimeona hata hi ngoma yake ya gimi dati inafanya vizuri Sana nje ya nchi na ndani na ni msanii anayebadilika Sana.
 
Dogo ameangalia maslahi zaid
Siku Hamonize akitoa wimbo kila kitu kitabaki uchi kwa sasa tutaongea mengi lakini wakati utasema kweli.
Combination ya Fella+Tale+Sallam ni future ya entertainment industry ningekuwa ni mimi nisingekaa mbali na awa watu.
 
Salaam Anamsimamia AY Hatuoni Jipya !
Kwa Navy Kenzo Hatuoni Jipya !
Babu Tale Ni Takataka, Anasafiria Nyota Ya Abdu Bonge.
Wasanii Waliopita Kwake Kibao Na Hawana Jipya Lolote.
Kila Mtu Kwenye Maisha Ana Nafash, ACHENI KUABUDU WATU !
Umenena vyema kabisa mbona hawafanya vizur hadi tiptop connection nayo Imekufa ikiwa mikonon mwake tale afu fela naye tmk hawafanyi vyema tena
 
Unajidanganganya
Lazima Wamuwaze Maana,

Alikuwa Anaongoza Kwa Kuingiza Mapato WCB,

Ndio Msanii Mwenye Nyota Kali WCB Kwa Kutoa Hits Ambazo Diamond Mwenyewe Akawa Analazimisha Awemo Kama Kolabo Ili Aendelee Kusikika
 
Back
Top Bottom