Kisa cha Harmonize kukimbia WCB Wasafi na kisa cha Dogo janja kumkimbia Madee Ali

Kisa cha Harmonize kukimbia WCB Wasafi na kisa cha Dogo janja kumkimbia Madee Ali

Sema unatania! Yaani amuone threat mtu ambae wakati huo alikuwa anauza chai tu Kariakoo na asiwaone threats wasanii ambao tayari walikuwa kwenye game?!
Mkuu unaona kilichotokea ndicho diamond alichokiona aliamini kama mtu atatokea akamkuza harmonize basi harmonize anaweza kuja kumpiku kwenye soko hii kitu hufanyika kwenye biashara kama unaona kuna kampuni mnazalisha bidhaa sawa ana inaweza kuja kutoa ushindani basi solution ni kuifanyia figisu iyo kampuni kwa kuinunua
 
Kumkuza mbosso ili azibe pengo la harmonise sio rahisi. Kwasababu uwimbaji wa mbosso ni Kama vile anawaimbia watu wa Mombasa Zanzibar comoro na shelisheli, wakati wa harmonise anawaimbia watu wa dunia mzima hasa vijana, Kama vile Tanzania Ghana Nigeria marekani Uganda Mozambique and South Africa.
They can create him hivi vitu vinafundishika mkuu
 
Mboso habadiliki Melody za mziki wake kama zinafanana hivi...!! Yani ukisikia nyimbo zake zina mahadhi yanayofanana ila Harmonize anabadilika sana sanaa yani
they can teach him kama unamuonaga harmonize alikua hadi anaiga uongeaji wa diamond
 
Mkuu huu uandishi wako sio mzuri au ndo harmonize amewavuruga
Kwatarfa yako we team kiba uliyorudisha mapenz yako kwa harmo...ni kwamba hata toa hit kar ya kuifunika ile kwangwaru kpnd yupo usafini subil next week anaachia ngoma na wizkid uione itafanya nini..ukiwa wasafi unatembelea nyota ya Diamond nahapa Bongo hamna mtu mwenye nyota kar kama ya huyo jamaa. Mashabik wa kiba mnanifurahsha vp mkisikia ilkuwa mbinu ya kumpteza kiba ili tension yote mhamishie kwa harmo km mlivyo fanya...[emoji23][emoji23][emoji23]
 
By Sangu J

Kama nilivyokiri awali kwenye Makala yangu kwamba mimi ni mshabiki mkubwa wa @wcb_wasafi na wasanii wote waliokuwepo humo, na kueleza mambo ambayo Harmonize ili aweze kufanya vizuri nadhani yalikuwa na umuhimu ya kufanya, ili aweze kupiga hatua kwa sasa kama ulikosa unaweza kurudi kwenye post zangu za nyuma, na kujisomea.
.
Leo kisa cha Harmonize kukimbia @wcb_wasafi iwe kwa wema au ubaya, lakini imenikumbusha kipindi ambacho @dogojanjatz ambaye aliamua kutoka chini ya mikono ya @madeeali na kuamua kwenda kujitafutia maisha yeye mwenyewe, na akakumbatiwa na mikono ya Ustadhi Juma na Musoma.
.
Nakumbuka kipindi hicho hakuna ambaye alikuwa hajui wapi ambapo Madee alikuwa amemtoa Dodo Janja, ambayo kimtazamo fulani inafanana na namna ambavyo @diamondplatnumz alimpata Harmonize na kuamini aingie ndani ya WCB.
.
Njia ambayo Dogo Janja, kwa wakati huo aliondoka kiuhalisia haikuwa nzuri ndiyo maana, hata alitoa wimbo wa Yamoyoni na kueleza mambo ambayo alikuwa akifanyiwa chini ya Madee, na kwenye nyimbo kundi ya Watasubiri bado Janjaro alitamba kwamba aliondoka chini ya Madee na alienda kwa Ostadhi Juma, kw ausafiri wa ndege.
.
Sasa turudi kwa Harmonize kwanza njia aliyoondoka nayo iliaminika kwamba ilikuwa ya amani sana pale WCB lakini kwa mazingira ya sasa inaonekana hali si shwari kabisa, kuna mahali kuna tatizo,
.
Mimi sina mashaka na kipaji cha Harmonize asilimia 100, ila tatizo ni aina ya Uongozi wake mpya aliokuwa nao, utamfanya afikie kule ambapo tulitegemea afikie, hata Janjaro alikuwa na kipaji kikubwa sana, ila tatizo ni menejiment aliyokuwa baada ya kutoka Madee ilishindwa kumfanya awe mkubwa hasa baada ya kushiriki ngoma mbili tu.
.
Sasa najiuliza kama kilichomkwamisha kipindi Kile Janjaro kilikuwa ni uongozi, sasa najiuliza je uongozi mpya wa Harmonize una uzoefu na kujua code za muziki wa Bongo, na je uzoefu huo ameupatia wapi, kwa wasanii gani, amba aliwahi kuwasimamiana walifanya vizuri sana Bongo.
.
Wote tunajua historia ya Mkubwa Fella na Babu Tale kwenye kusimamia wasanii na wengi wao mpaka sasa bado wanafanya vizuri, sasa je huyu wa Harmonize anaweza kweli, kumsaidia Harmonize kumpigisha hatua zaidi ya aliyofika akiwa chini ya WCB.
.
Muziki wa Bongo hauhitaji pesa ili upenye masikia ya watu inahitaji kujua mbinu tu, kwa sababu hata Otashi Juma alikuwa na pesa lakini alikosa mbinu za kumkuza Dogo Janja na baadaye alirudi kuomba msamaha, kwa Madee na alisemehewa.
.
Simuombei Harmonize kufeli lakini nadhani pia, hichi kisa cha Harmonize na Diamond Platnumz, kimenikumbusha kisa cha Dogo Janja na Madee.
.
#KijanaMzalendo
#WCBForLife
#MaoniYangu
Harmoniser hawezi kuwika tena, WCB wanatumia uchawi sana ambao harmo hana, atashuka, diamond anatumia ucchawi wa Kongo
 
Usichokijua ni

Dogo janja wakati yupo chini ya madee, karibia nyimbo zoote alitungiwa na madee ikiwa pamoja na na promo na kila kitu na ndomana wakati ule mistari ya wakati ule ilikua ya kiutu uzima ilikua tofauti na umri wake

Ukija kwa hamo , hamo amemsaidia sana diamond hasa kwenye uandishi, hata style za melody hamo amempita dai mbali sana

Mziki wa dai ni mwepesi sana na ndio maana bila kick za insta aufiki mbali
Ha ha ha,,

Nenda kamwambie, lala salama, nilewe, moyo wangu, nitarejea, nmpende nani, my number one, nana,, kesho.

Ivi unajua unachokisema kwel..???

WCB karibia woote,, anayetoa nyimbo na Mond ndo inakua top of top hitsong kwa uyo msaniii
 
Mkuu mbona hii ndo sababu ya hiyo kiki wala sio kweli kwamba katoka wasafi no ni kiki ili kumpoteza kiba100 wa clouds [emoji848][emoji848][emoji23][emoji23]
Kwatarfa yako we team kiba uliyorudisha mapenz yako kwa harmo...ni kwamba hata toa hit kar ya kuifunika ile kwangwaru kpnd yupo usafini subil next week anaachia ngoma na wizkid uione itafanya nini..ukiwa wasafi unatembelea nyota ya Diamond nahapa Bongo hamna mtu mwenye nyota kar kama ya huyo jamaa. Mashabik wa kiba mnanifurahsha vp mkisikia ilkuwa mbinu ya kumpteza kiba ili tension yote mhamishie kwa harmo km mlivyo fanya...[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Lazima Wamuwaze Maana,
Alikuwa Anaongoza Kwa Kuingiza Mapato WCB,
Ndio Msanii Mwenye Nyota Kali WCB Kwa Kutoa Hits Ambazo Diamond Mwenyewe Akawa Analazimisha Awemo Kama Kolabo Ili Aendelee Kusikika
mmmmh kwa mimi nnavyojua kinacho muingizia msanii pesa ni show na Matangazo ya makampuni mbalimbali kidogo na viewers youtube
Sasa hv huyu jamaa anataka niaminisha harmonize anafanya show kubwa zinazomzidi diamond or anathaman zaidi ya diamond
Hv kati ya Harmonize na diamond n nan anayefanya matangazo ya makampuni kuliko mwenzake
Hv kati ya mond na Harmo nan video zake zinaongoza kwa viewers wengi
Au kunanamna nyingine tofauti harmonize alikuwa anaiingizia WCB mapato...?
 
mmmmh kwa mimi nnavyojua kinacho muingizia msanii pesa ni show na Matangazo ya makampuni mbalimbali kidogo na viewers youtube Sasa hv huyu jamaa anataka niaminisha harmonize anafanya show kubwa zinazomzidi diamond or anathaman zaidi ya diamond Hv kati ya Harmonize na diamond n nan anayefanya matangazo ya makampuni kuliko mwenzake Hv kati ya mond na Harmo nan video zake zinaongoza kwa viewers wengi Au kunanamna nyingine tofauti harmonize alikuwa anaiingizia WCB mapato...?
Tatizo La Ninyi Misukule Hamna Akili.
Ndio Maana Diamond Anawageuza Anavyotaka.
Mimi Sijazungumzia Harmonize Kumzidi Mapato Aliyekuwa Boss Wake.
Ninachozungumzia Ni Kuwa Harmonize Ndio Uwekezaji Alioufanya Diamond, Uliokuwa Unamlipa Zaidi.
Hata Chuki Aliyojenga Baada Ya Kuondoka Wivu, Uswahili Na Roho Mbaya.
Ni Sawa Na Academy Ya Mbagala Iliyomwokota Mbwana Samatta Imjengee Wivu Na Chuki Eti Kwa Kuwa Kaenda Kutafuta Maisha Kwingine.
Viswahili Nuksi
 
Siku Hamonize akitoa wimbo kila kitu kitabaki uchi kwa sasa tutaongea mengi lakini wakati utasema kweli.
Combination ya Fella+Tale+Sallam ni future ya entertainment industry ningekuwa ni mimi nisingekaa mbali na awa watu.
Ni kweli ukisemacho ila sidhani ni wao tu ndio walioishika entertainment industry. Kumbuka Konde pia akitoka wasafi, media zote zilizokua hazipigi ngoma za wasafi zitaanza kumcheza. Na bado ana connections za kutupa na wasanii wakubwa wa nje. Kimsingi Konde kupotea Itakua ni muujiza mwingine mkubwa kuwahi kuushuhudia.
 
Salaam Anamsimamia AY Hatuoni Jipya !
Kwa Navy Kenzo Hatuoni Jipya !
Babu Tale Ni Takataka, Anasafiria Nyota Ya Abdu Bonge.
Wasanii Waliopita Kwake Kibao Na Hawana Jipya Lolote.
Kila Mtu Kwenye Maisha Ana Nafash, ACHENI KUABUDU WATU !
Word [emoji817]
 
[emoji2211][emoji2211][emoji2211][emoji2211]eeh afu ndie msanii pekee hits zake kali zote ni alizo shirikiana na platnumz.. na aka ishia kufunikwa...vipi ukitoa izo kuna nyingine iliyo fikia mafanikio zaid ya izo za #bado na #kwangwaru
Kwangwaru ingekuwa kali tu hata angefanya na Davido, Diamond huwa anazijua ngoma zitakazokuwa Hit , that's why huwa anaforce collabo.
 
Back
Top Bottom