Kwa kawaida msanii anapoondoka kwenye label iliyomkuza, basi lable hiyo hutamani apotee ili iwe funzo kwa waliobaki.
Mapesa yote hayo wamempiga, bila hiyana kawalipa lakina kila kukicha wanamshambulia na kumuita msaliti. Kama watanzania wakiamua hakuna kitakachoshindikana.
We need more international artists. Siyo mmoja tu kwenye nchi ya watu millioni 50.
Mapesa yote hayo wamempiga, bila hiyana kawalipa lakina kila kukicha wanamshambulia na kumuita msaliti. Kama watanzania wakiamua hakuna kitakachoshindikana.
We need more international artists. Siyo mmoja tu kwenye nchi ya watu millioni 50.