Kisa cha Harmonize na Diamond Platinumz ni sawa na cha Fally Ipupa na Koffie Olomide. Afrobeat Album ndo itatoa majibu

Kisa cha Harmonize na Diamond Platinumz ni sawa na cha Fally Ipupa na Koffie Olomide. Afrobeat Album ndo itatoa majibu

Harmonize achague marafiki na watu wa karibu kwa makini.
H.baba na Diva sio watu sahihi!
 
Mnatafuta huruma yy afanye kazi mwisho wa siku aziache number ziongee na sio maneno.Alisema 27 June atazindua album ya Afro East kwa mara ya pili kwa wasiopata nafasi ya kwenda Mlimani City,show aliipanga kuifanyoa uwanja wa Uhuru na akasema wasanii wote wa alio washirikisha kwenye album watakuwepo.Ila cha ajabu mpaka sasa hamna update ya hiyo show kama itakuwepo,imehairishwa au hamna.

Tatizo lake moja anafanya vitu nusu nusu sijui ana kurupuka au hajipangi tokea mwanzo.Afanye mziki tu number zitaongea WCB wenyewe washasahau kwamba walikuwa na msanii anaitwa Harmonize,yy a-concentrate na mziki wake kwani yaliyopita yamepita,yy kama amefungua ukurasa mpya asonge mbele na si kugeuka nyuma.

100%
 
Back
Top Bottom