Kisa cha Jaji na profesa katika uchaguzi wa 1995

Mzee mohamed wewe na udini,udini na wewe,hutufai wewe,kila jambo ni kulalamika tu,
kuna sehemu kasema waislamu hawa jawai kuingia ikulu na mnukuu pale kwenye gazeti lake.alafu mwinyi enzi hizo sijui alikuwa mkristo na kikwete mda huo alikuwa wapi na rafiki yake lowasa
 
Kamati kuu ndio zao

2015 Ngoyai alikuwa na watu kadhaa ndani ya Kamati kuu akiwemo Nchimbi, Sadifa, Sofia Simba, Kimbisa na wengineo wengi aliowapanga kuwa yakiletwa majina ya Wagombea wakomae mwanzo mwisho hadi Washindwe kumkata Ngoyai

Cha Kushangaza Jk akaja kishakata majina kabisa wao wakabaki na kazi ya kubariki yaliyoletwa

Walipofika kwny NEC wapambe wa Lowassa wakajipanga kujibu hoja za Richmond, Jk akaja na hoja alizotumia Nyerere kumkataa Lowassa 1995

Ngoma ikaanuliwa kabla ya kukauka
 
Hata kama Mark Bomani asingekuwa kwenye tume, bado CCM wasingempitisha hata kama angekuwa na sifa kwa 101%! Ni bahati mbaya sana watu tunasoma uzi kwa mihemuko lakini hoja ya MS inaeleweka sana. Bomani hakuwa kwenye circle ya CCM. Usipokuwa kwenye circle ya CCM hata ufanye vipi kuteuliwa utasikia kwenye bomba unless uwe na watu wenye influence wa kuweza kukusimamia kama ilivyokuwa kwa Mkapa na JPM.
 
Labda umezaliwa juzi kina bomani wameanza kuwa na influence kwenye nchi kabla ya kupata uhuru, ccm kama chama ilikuwa na vigezo vyake kama angekidhi vigezo wangempitisha.
Kumbukabhuu mchakato ulisimamiwa na mwasisi wa ccm ambaye pia ni rais wa kwanza na mafaili yote alikuwa nayo kama kuwa kwenye circle ya ccm hakuna aliyekuwa na nguvu kama Malecela na alikatwa hata 2015 lowassa alikuwa na nguvu kubwa lakini alikatwa
 
NEC,NA CC ZOOTE KAZI YAO NI KUTIA MHULI KWA ANAETAKIWA KUWA RAIS,RAIS NDANI YA CCM NA TANZANIA HUTENGENWZWA,NA HATA YEYE HUWA HAJUI KAMA KATENGENEZWA NA ANATAKIWA,RAIS WA NCHI HII HAZUKI TU KAMA NCHI ZINGINE ZINACYOFANYA,ANAANDALIWA KBS
 
mbona hujaelezea akaamua kuanzisha chama chake cha NRA baada ya kutoswa?
 
mbona hujaelezea akaamua kuanzisha chama chake cha NRA baada ya kutoswa?
Geza Ulole,
Ungeuliza swali hili kwa heshima na adabu ningekuwekea hapa historia nzima ya Prof. Malima katika nyakati zile.

Naamini wengi wangenufaika na tungekuwa na mjadala mzuri.

Mimi hutaabika kumjibu mtu anaeonyesha fedhuli katika maandishi yake.
 
Palikuwa na stori za mitaani mwaka 1995 kuhusu mada hii. Palikuwa na katuni, kama sikosei ya Masudi Kipanya, ikirandana na stori zile.

Oh! How time flies!
 
Nimezungumzia suala la nchi au suala la CCM? Au unadhani ukishakuwa na influence ndani ya nchi ndo tayari umeshakuwa na influence ndani ya CCM? Na nimeshasema usipokuwa CCM Insider ni LAZIMA awepo wa kukupigania kama ambavyo Mwalimu alimpigania Mkapa kiasi cha kuwashinda akina Malecela!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…