Kisa Cha kondakta anayepanga kugomea kukabidhi gari Kwa mmiliki.

Kisa Cha kondakta anayepanga kugomea kukabidhi gari Kwa mmiliki.

Walikosea sana pia. Dereva ni mwanadamu na yeye,kwanini wamwambie hatma yake safari ingali ndio inaanza? Mngemuacha tu afike kituo cha mapumziko ya mabadiliko walau ndio mumpe kwanza pole na hongera na kumwambia hatma yake tena kwa nidhamu na tuzo za heshima. Sasa mumuache,tushapata uzoefu,2025 VETA wanatupa leseni na kazi inaendelea kwa kujiamini.
Tusubiri!!

Dere mpya ameuza vioo pia vya MADIRISHA yote, Hadi kioo Cha mbele,

Na spidi Kali anayoenda nayo, macho yanatoa tu machozi yenyewe!!
 
Bro abiria hatuna noma na kondakta ila anazingua kwenye sevisi ya gari. Yule dereva aliepita alihakikisha mfumo wa umeme upo sawa yaani 24 hrs tunaangalia movie za mkojani na mbele tunaona. Lakin huyu konda anawasha na kuzima taa ndani ya gari kama radi. Alipoulizwa alisema betri hazina maji na mfumo wa umeme umechoka. Nasemaje hizo km zikiisha atupishe
 
Bro abiria hatuna noma na kondakta ila anazingua kwenye sevisi ya gari. Yule dereva aliepita alihakikisha mfumo wa umeme upo sawa yaani 24 hrs tunaangalia movie za mkojani na mbele tunaona. Lakin huyu konda anawasha na kuzima taa ndani ya gari kama radi. Alipoulizwa alisema betri hazina maji na mfumo wa umeme umechoka. Nasemaje hizo km zikiisha atupishe
Dere kama deiwaka!!

KAZI IPO!!
 
siasa kibao, weka vitu black or white 🚮🚮, watanzania wengi wajinga wajinga, wamejaa uchawa., uongo, uchawi na unafiki.

this is a stupid story, bringing nothing to the table.
 
siasa kibao, weka vitu black or white 🚮🚮, watanzania wengi wajinga wajinga, wamejaa uchawa., uongo, uchawi na unafiki.

this is a stupid story, bringing nothing to the table.
Mbona umeedit maneno?

Anyway, usiogope, ni stori tu za kuwahi sikukuu za mchogo!!
 
Mvua inanyesha hatari, Kwa kuwa vioo vya MADIRISHA viling'olewa na kuuzwa, tumenyeshewa chepechepe!!

Tutafika tu!!

rastaman
 
Eti dere aliyekufa aliendesha gari vizuri sana abiria wakaumia sana alipokufa una uhakika? Una hakika tukamuulize baba yake na Ben Saanane kama abiria walimsifia marehemu dereva?.
Huyu Ben Saa8 aliuliwa na wahuni wenzie
 
Back
Top Bottom