Ulimakafu
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 31,248
- 13,244
Hiyo simple fasihi andishi.Mwanzoni sikuelewa ila nimefika mwisho ndo nimekuelewa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo simple fasihi andishi.Mwanzoni sikuelewa ila nimefika mwisho ndo nimekuelewa.
Kigeugeu kipi ndugu?Sasa mbona unakigeugeu
Hujui kusoma au akili ni shida.Huyo Sa100 ametajwa wapi?
Tusubiri!!
Dere mpya ameuza vioo pia vya MADIRISHA yote, Hadi kioo Cha mbele,
Na spidi Kali anayoenda nayo, macho yanatoa tu machozi yenyewe!!
Makubwa,Hujui kusoma au akili ni shida.
Dere kama deiwaka!!Bro abiria hatuna noma na kondakta ila anazingua kwenye sevisi ya gari. Yule dereva aliepita alihakikisha mfumo wa umeme upo sawa yaani 24 hrs tunaangalia movie za mkojani na mbele tunaona. Lakin huyu konda anawasha na kuzima taa ndani ya gari kama radi. Alipoulizwa alisema betri hazina maji na mfumo wa umeme umechoka. Nasemaje hizo km zikiisha atupishe
Mbona umeedit maneno?siasa kibao, weka vitu black or white 🚮🚮, watanzania wengi wajinga wajinga, wamejaa uchawa., uongo, uchawi na unafiki.
this is a stupid story, bringing nothing to the table.
Hii story yako inahusu nini?Kigeugeu kipi ndugu?
Inahusu kisa Cha kondakta anayepanga kugomea kukabidhi gari Kwa mmiliki.Hii story yako inahusu nini?
Ikiwa gari ni Mali ya URITHI, mmiliki anasura nyingi!!Mmiliki ni nani?
Jibu maswali hapo chini,
Mmiliki anabadilika badilika. Ana sura mingi.Huyo mmiliki ni nani au msoga master
Huyu Ben Saa8 aliuliwa na wahuni wenzieEti dere aliyekufa aliendesha gari vizuri sana abiria wakaumia sana alipokufa una uhakika? Una hakika tukamuulize baba yake na Ben Saanane kama abiria walimsifia marehemu dereva?.