Kisa cha kutafakarisha na kufikirisha juu ya Kikwete na Kagame

Huyo jamaa namfananishaga na Hawa vishandu wa bodaboda Tambo zake
 
Ipo siku yako Mkuu Genta utayakanyaga endelea tu kuitumia jf kudemka
 
Huwa nakuheshimu sana humu, tulia na uombe radhi kwa matusi haya kwa nchi hii. Nakuambia omba radhi haraka. Tukio tulilolifanya mwaka 2014 ni sehemu ndogo sana na siweki mambo yote humu kwa sababu nijuazo.
Dawa yake kumsodomise hyu mtoto na mshepu wake
 
Hii chai ilikua ya moto sana mkuu mpaka leo haijapoa kabisa
 
kagame ni shetani wewe, ni mnywa damu yule tangu akiwa msituni. kama haujaelewa, wapiganaji wa vita vya mstuni congo hasa hao viongozi wameingia maagano na shetani hata kabla haujafika nyumbani kwao walishajua. ndio utaelewa kwanini hadi leo Joseph Kony hauawi, unaambiwa anayeyuka, ukimwona hapa sasaivi anapotea. na kafara lake anaenda kuchinja kijiji kizima ndio kulisha mashetani yake. kagame is the same. ukienda pale labla upige kwanza maombi, ila ukienda kichwakichwa anayeyuka kama upepo. ni mashetani hao.
 
Angalikua mwenye asili ya kiarabu na chembe ya uislam pangalikua hapatoshi. Mdude, mwambusi, dk Slaa na baadhi ya vibwetere wa Jf na matamko ya J2 yangalindindima. Lkn kwa sababu ya mzungu yataisha kimya kimya.
Au nasema uongo wadau?
 
BANGI sikwakila mtu! Kichwa kama nimapepe inakuvuruga kuwa makini
 
Duuuuuhhh
 
Hilo ndio jeshi letu,hebu tuletee na habari nyingine ya jeshi letu mkuu.
 
Poropagandaniz
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…