Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nije Chalinze Mzee au Mpya? Ha ha ha haMkuu kama bado unazo hizo bia njoo nazo chalinze
Kwa kweli nilijikaza, lakini nilitaka kujua mengiPole sana mkuu na hongera kwa kuwa na kifua!!
Nije Chalinze Mzee au Mpya?ha ha ha ha
Tena hawa wa siku hizi wana ndimi ni kali kuliko hata ncha ya sindano wanakusema hadi unazimia na fahamu zinapotea kabisa, alafu wakijua umezimia hata hawashtuki watakuambia ukiamka anaendelea alipoishia. wee waulize wakandarasi.Mkuu wabongo wanasengenya asikwambie mtu...acha tu
Ndo binadamu tulivyo mkuu! Ni kuwasamehe tuu!Kwa kweli nilijikaza,lkn nilitaka kujua mengi
Watu wa hivyo unaweza kuta walibaki wanarushiana mpira ni nani kati yao ndiyo alisema hovyo kuliko wengine ili wajione afadhali, baada ya hapo wanachekana na siku inasonga mbele huku wakimfanya mwezao kitukoDah ulipata moyo wa ujasili sana kwa msaada ule uku unaskilizia masengenyo juu yako! Najua walitoka pale hawatamani tena kuonana na wewe maana waliona aibu ambayo km walikuwa na akili timamu iliwatesa sana
Mnooo mzeeWrite your reply...wabongo ni ma snitch sana
Yaani watakuwa walijicheka sana ila pia wakabaki katika mind zao wanajiuliza sasa huku anapata kitu gani kuosha vyombo tu si bora arudi nyumbani akalime dah jambo usilolijuaWatu wa hivyo unaweza kuta walibaki wanarushiana mpira ni nani kati yao ndiyo alisema hovyo kuliko wengine ili wajione afadhali, baada ya hapo wanachekana na siku inasonga mbele huku wakimfanya mwezao kituko
HahahahahaDah nimepata picha alivobebelea box la pombe na jamaa walivopata aibu adi nimesisimka
Mi ningejikuta hata najipigisha simu naongea Kiswahili afu nimute nione kama wataendelea au wataomba samahani au wataniulizajeKwa kweli nilijikaza,lkn nilitaka kujua mengi