Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahahahaMr dragon alishindwa kusimamisha mhogo wa jango'mbe na kuipiga papuchi. Story naijua hii, nampa 24hrs aimalizie otherwise nitaimalizia mwenyewe [emoji41][emoji41]
Inakera sana ujueMuandishi katokomea matopeni
Hata wale wanaosema uchawi utatue kwa maombi labda uwe ujalongwa, wachungaji wenyewe huenda kwa waganga ndoMambo yanaendelea. Uchawi noma, omba issues kama hizi zisikukute katika njia zako za maisha.
Mbona kaburi lake nimelikuta ligamba A kama unaelekea ushashi gineryAlifariki tulimzika makaburi ya hapa Bunda Balili
duuh!! kumbe marehemu mnatembeleanaga!Mbona kaburi lake nimelikuta ligamba A kama unaelekea ushashi ginery
Hahaha. Una kumbukumbu aiseeUsije ukaishia km yule wa yunge,ila kanda ya ziwa kuna mambo ya ushirikina jaman