Kisa cha Kweli: Sitasahau nilivyopendwa na mchawi nikaishia kurogwa

Kisa cha Kweli: Sitasahau nilivyopendwa na mchawi nikaishia kurogwa

Antonnia njoo vumilia wangu nipo tayari kurogwa na ww
Lol hii ya lini mkuu???
Naomba samare Kidogo nipate mwanga nina muda sijasoma storeee!!

Wabheja sana mkuu nipo hapa ngoja nitulie nisome vizuri!!
Barikiwa sanaaa!
 
Hii story kila siku nikusubiria .
Alafu msimuliaji hajitokezi kutuambia lolote .
Kuna stori ya Biashara ya Uber ,ukweli jamaa anakuambia ntaendelea saa flani au siku flani na anatekeleza pia akioata udruru anajulisha.
Labda hapa huyu jamaa alissha twaliwa!
anakuja kimagendo sana kwasabu ya vumilia...
 
Usikute jamaa amepata ajali yupo anapumulia mashine huko
 
Lol hii ya lini mkuu???
Naomba samare Kidogo nipate mwanga nina muda sijasoma storeee!!

Wabheja sana mkuu nipo hapa ngoja nitulie nisome vizuri!!
Barikiwa sanaaa!
hii mpya madam ina kautamu kake ni vile unatakiwa rudisha fadhila kwa lazima kwa mtu ambaye alinusuru kifo chako lakini unaogopa sababu ya itikadi zake za kishirikina
 
Sasa kama una mambo mengi unaletaje story nusunusu ? Maliza u busy wako then leta story iliyo full.
Hauoni jamaa wa story yaubber anavyo tiririka?
 
Sasa kama una mambo mengi unaletaje story nusunusu ? Maliza u busy wako then leta story iliyo full.
Hauoni jamaa wa story yaubber anavyo tiririka?
Jamaa katukaudhia bado anatafuna mbususu ya fisi akitoka huko analia kama fisi
 
Back
Top Bottom