Kevin alikua akifanya mapenzi na Aisha wakitumia kondomu. Waliendelea tendo kwa muda wa dakika tano. Ghafla Aisha akamwambia kevin avue mpira ili waendelee kufanya mapenzi bila mpira wa kondomu.
Kwa vile Kevin hakujua hali ya Asha ya UKIMWI na pia hakutaka kumpa mimba. Kevin alikataa. Wakakosana.
Baada ya wiki thelathini na nne (miezi minane na nusu) Asha alijifungua mtoto. Asha akamweleza Kevin ya kwamba alitaka kumpa mtoto kwa vile baba mtoto alikua mlevi.
Kwa vile Kevin hakujua hali ya Asha ya UKIMWI na pia hakutaka kumpa mimba. Kevin alikataa. Wakakosana.
Baada ya wiki thelathini na nne (miezi minane na nusu) Asha alijifungua mtoto. Asha akamweleza Kevin ya kwamba alitaka kumpa mtoto kwa vile baba mtoto alikua mlevi.