Nikiwaga ofisin nilibahatika kupiga story na wajawazito wengi...!!na katika 8 basi 6 walibambikia watu mimba...!!Kevin alikua akifanya mapenzi na Aisha wakitumia kondomu .Waliendelea tendo kwa muda wa dakika tano .Ghafla Aisha akamwambia kevin avue mpira ili waendelee kufanya mapenzi bila mpira wa kondomu.Kwa vile kevin hakujua hali ya asha ya ukimwi na pia hakutaka kumpa mimba .Kevin alikataa .Wakakosana
Baada ya wiki thelathini na minne (miezi nane na nusu) Asha alijifungua mtoto .Asha akamweleza kevin ya kwamba alitaka kumwekelea mtoto kwa vile baba mtoto alikua mlevi.
Nakubaliana nawe wanawake watalia sanaKuna umuhimu kila mtoto anayezaliwa vipimo vya DNA vichukuliwe.