Kisa cha Mimi kugombea demu na Jini

HUU MSTARI NIMEUPENDA SANA,NMECHEKA KAMA MALAYA WA KONA BAR

ilikuwa Ijumaa nikapita mitaa flani kwa wana wangu walikuwa wamepika kitimoto. Sisi tulikuwa hatuna dini kwa kweli. Tuligonga na ugali nikashiba sana
 
Haya moderators kunywen peps,ila sio tatzo sana Kuna mastory mengi sana makali yaliishiaga njian na tukazoea
 
Mods hawahusiki,unawalaumu bure

itakuwa yule jini kamaindi ww kutoboa siri,kwa hiyo unakuwa unaona maluweluwe kumbe hata huku walikouleta ni poa tu

umeanza na kuzirazira ikiwa ni dalili jini amekuvaa...wewe endeleza story kabla jini hajakupa upofu
 
kwani hii ni habari? au ni hoja?!
hii ni simulizi' na imeletwa kwenye jukwaa husika..!
 
Dah hapa sasa tunaoteseka ni sisi!!

Hivi ni kwanini mods hamtufikirii sisi wapenzi wasomaji kabla ya kufanya maamuzi??
Sasa mleta mada amegoma what next????
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]mods hawawafikirii walaji kabla hawajafanya maamuzi.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]daah!
Yaani unateseka na majini wadau wanaona ni michezo na burudani mateso yako.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
kwani hii ni habari? au ni hoja?!
hii ni simulizi' na imeletwa kwenye jukwaa husika..!
Hii ni habari ambayo ilimtokea mtu miaka iliyopita, na kule habari na hoja mchanganyiko kuna habari za aina hii nyingi tu na wala hazijahamishwa,

Wengi tu wametusimulia majanga waliyokutana nayo miaka ya nyuma na wengine bado wanaendelea kutupa habari za matukio hayo kama alivyofanya Chizi Maarifa

Unaweza kuniambia ni kwanini uzi huu uhamishwe na zile nyingine za aina hii zibakie??
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]daah!
Yaani unateseka na majini wadau wanaona ni michezo na burudani mateso yako.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Hivi uzi umeunganishwa na uzi mwingine au umehamishwa jukwaa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…