Kisa cha Mimi kugombea demu na Jini

Kisa cha Mimi kugombea demu na Jini

Tunaomba warembo waJF wakavamie PM ya Huyu jamaa hadi alegee aje amalizie hiki kisa
 
Chizi Maarifa kwenye ubora wake.
We jamaa kumaliza story zako huwa ni kasheshe lazma utafute visababu. Story zenyewe unacopy huko na huzimalizi unaacha watu wanalalamika tu, unajaza saver tu.
Acha michezo iyo mzee
 
Huu ni Ulalamishi wa Mwanamke asiye na uwezo wa kupata mtoto. Sasa kama nina copy huko ....kwa nini usisome tu huko huko ukamaliza mpaka utake nimalizie mimi huku?

Halafu saver ni nini? Ni mbaya sana kuacha kutumia akili na badala yake unatumia sehemu nyingine za mwili.
😁😁😁😁😁😁

Chizi Maarifa kwenye ubora wake.
We jamaa kumaliza story zako huwa ni kasheshe lazma utafute visababu. Story zenyewe unacopy huko na huzimalizi unaacha watu wanalalamika tu, unajaza saver tu.
Acha michezo iyo mzee
 
Huu ni Ulalamishi wa Mwanamke asiye na uwezo wa kupata mtoto. Sasa kama nina copy huko ....kwa nini usisome tu huko huko ukamaliza mpaka utake nimalizie mimi huku?

Halafu saver ni nini? Ni mbaya sana kuacha kutumia akili na badala yake unatumia sehemu nyingine za mwili.
😁😁😁😁😁😁
Kumbe upo mkuu, nafarijika kuona upo hai.
Unaosoma nao huko unakocopy walileta mwendelezo hapa, ukawakalia kooni kwa kukuharibia wasifu. Mi sipo uko unakozichukua na hii ni story ya pili unasema ni wewe yemekutokea.
Yaani kuna chizi maarifa wa sinza na wa kigoma. We jamaa muongo sana.

Binadamu wote tunatumia akili kufikiri, sasa kama hujui hata kitu kidogo kama hicho mkuu sijui uwezo wa kucopy hizi story unautoa wapi😂😂.
 
Kumbe upo mkuu, nafarijika kuona upo hai.
Unaosoma nao huko unakocopy walileta mwendelezo hapa, ukawakalia kooni kwa kukuharibia wasifu. Mi sipo uko unakozichukua na hii ni story ya pili unasema ni wewe yemekutokea.
Yaani kuna chizi maarifa wa sinza na wa kigoma. We jamaa muongo sana.

Binadamu wote tunatumia akili kufikiri, sasa kama hujui hata kitu kidogo kama hicho mkuu sijui uwezo wa kucopy hizi story unautoa wapi😂😂.
Aisee.... Kama akili yako imeishia hapa basi tatizo ni kubwa sana kuliko wataalamu wanavyosimulia. Hili ilitakiwa tudai pia lishughurikiwe halafu ndo ije Katiba.
 
Aisee.... Kama akili yako imeishia hapa basi tatizo ni kubwa sana kuliko wataalamu wanavyosimulia. Hili ilitakiwa tudai pia lishughurikiwe halafu ndo ije Katiba.
😂😂😂😂 Au sio mzebaba.
Sema nini malizia story bnaa
 
Hii story niliisoma zamani sana hadi nikasahau.... Kumbe haikuisha hadi leo??!
 
Back
Top Bottom