Kisa cha Mimi kugombea demu na Jini

Ni huyohuyo mmoja ana account mbili,anajisahau anajikuta anaingia na account nyingine
 
Wa Lupatu na wa Nairoto

Kuna mmoja watu wengi wametoa ushuhuda ambao jamaa wa Msitu wa nyumbanitu anasimulia
Yule wa Iringa ndio watu wengi wametoa ushuhuda kuwa wanalijua eneo lile, ila kule nje ya nchi wanaopajua ni wachache!
 
Reactions: T11
Ooh sijawahi kujua hii

Anayefanya ni mod au member yeyote?

Linakuwa na baraka za mods na mwenye uzi mhusika ama ukijisikia tu unaendeleza ilipoishia?
Ameona mambo yasiwe mengi akapokea kijiti, iliwahi kutokea kwenye stori nyingine pia, mwenye uzi wake alianza kuleta madoido jamaa akaamua kuumalizia na mambo yakawa fresh
Kwahiyo acha tu jamaa atuondolee arosto
 
Embe tueleweshwe kidogo hii stori Nani mhusika wa hii stori. Mbn naona chenga cheng
 
yupo humu JF ameona uzi wako akakukumbuka ila jiandae maana Mzee KHERI yupo nae anakufuatilia atakutatua marinda this time around
 
Moderator mkianza kuruhusu watu wafanye huu uhuni kutakuwa na migogoro mingi sana humu JF. Huu uzi wa huyu aliyeandika hapa. Please tabia hii ikomeshwe otherwise muwe mnashirikiana naye. Nlishatoa taarifa naona mmenyamaza tu.


 
Ni mpuuzi mmoja anayetafuta umaarufu wa kipuuzi kupitia nyuzi za wenzie.
Tena ukome kuniita Mpuuzi while huna kifua cha ustahimilivu.Uzi kuhamishwa tu umeleta maringo.Alafu usifikiri umaarufu wa mtandaoni ndio kila kitu bro,wala siutafuti na mie nimekushinda ukongwe kama ni swala la umaarufu ningeusaka siku nyingi sana.Acha kudeka deka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…