Kisa cha Mkuu wa Mkoa Rwegasira kuondoa makahaba Dar es Salaam

issue sio isifanyike bali ifanyike kwa utaratibu maalum usioleta bughudha kwa jamii nyingine hasa watoto..
 
Dhambi ni kutenda kinyume na maagizo ya Mungu, ni kutenda mambo yasiyompendeza Mungu, ni kutenda mambo yasiyo mema.
 
Reactions: Cyb
Nchi ikichafuka rais anaweza kwenda kujificha sehemu za makahaba, na akatoboa.
 
Dhambi ni kutenda kinyume na maagizo ya Mungu, ni kutenda mambo yasiyompendeza Mungu, ni kutenda mambo yasiyo mema.
Hakika, nami nakubaliana na hilo.

Agizo la Mungu ni upendo. Sie majirani tutendeane kwa wema kama tuu ambavyo tungependa kutendewa. Kwa hiyo kufanya jambo limuumizalo mtu mwingine ni dhambi maana ni kinyume na upendo.

Malaya na mteja wake wametenda kipi ambacho hawangependa watendwe? Nani kaumia? Nani kaumizwa? Nani kamuumiza mwenzake?

Tumeambiwa leo kuwa sheria za mungu zimegawanyika sehemu mbili tu;
1,2,3 Mpende Mungu
4-10 mpende jirani kama nafsi yako.
ILa masadukayo walizifafanua hadi zikafika 613. Na ndio maana yezu alipokuja akaweka sawa kwa kusema kimsingi kuna kanuni moja tu, akaigawa vipande viwili. Tafakari
 
Wanavunja amri ya sita ya Mungu - usizini.
 
Wanavunja amri ya sita ya Mungu - usizini.
Usizini nakubali usizini.

Lakini sio kila tendo la mume na mke kukutana ni kuzini ndio maana kuna wanaokutana na wanazaa katika ndoa yao safi kabisa.

Mke akimdanganya mumewe akatoka nje ya ndoa. Anazini na anamuumiza mumewe waliyeahidiana kiapo cha uaminifu.
Vivyo hivyo mume
Vivyo hivyo mpenzi wa mtu. Usimdanganye mwenzio yupo peke ake halafu ukaenda kulala na mtu mwingine ni dhambi.

Je watu wawili (malaya na mteja wake) wasio na mikataba wala maagano kwingine wanapokutana wamemuumiza nani? Wamevunja ahadi kwa nani?
 
Uzinzi ni nini?
 
Uzinzi ni nini?
Kwa taratibu na sheria? ... au ki roho?

Kwa sheria za kisadukayo kuna mengi na yanaweza kuwa dhambi kweli au yasiwe dhambi bali makubaliano tu ya kibinadamu.

Lakini ki roho ni kuweka nadhiri sehemu moja kuwa nitafanya hivi halafu kwenda kufanya kinyume na nadhiri hiyo sehemu nyingine. Huo ni uzinzi.

Mfano 1. Mke kusema nitamtii mwanaume huyu katika haya. Halafu akaenda kumtii mwanaume mwingine katika yaleyale.
Mfano 2. Muumini kuahidi atamtumikia Mungu halafu akaenda kuitumikia miungu mingine etc etc
 
we ulikuwepo hapo ofisini kwa mwl. Nyerere wakati hayo yanatendeka? Upumbavu mwingine uwe unaona haya. Ni zuzu gani ataelewa huu upupu wako?
 
Hebu kajifunze kwanza maana ya dhambi na ujielimishe maana, mfanano na tofauti ya ngono, uasherati, ukahaba na uzinzi ndiposa uje tujadiliane. Kila la kheri.
 
we ulikuwepo hapo ofisini kwa mwl. Nyerere wakati hayo yanatendeka? Upumbavu mwingine uwe unaona haya. Ni zuzu gani ataelewa huu upupu wako?
Ulivyonitukana, imekusaidia Nini?
 
Sijawahi kuona mtu aliyefanikiwa kuondoa hiyo biashara.

Viongozi wetu ni wavivu tu kufikiri.

Wanaacha mambo ya msingi na kurukia vitu visivyokua ni matatizo katika jamii zetu.

Watu wanahitaji afya elimu bora ajira na uchumi wa kueleweka.

Maji yenyewe ya uhakika hatuna


Waache usanii bwana.
 
Vp mashoga au wasagaji wakiridhiana ...nayo sio zambi?
 
Makahaba wapo kitambo sana na wana wateja wao wanaowezana nao. Wengine mikriti ya makahaba hatuiwezi kwa kuwa ni watu wa slow motion
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…