Mcheza Piano
JF-Expert Member
- Mar 2, 2024
- 562
- 1,339
Umeniharibia kule, niko seriousOya unazingua 🤣
Yaani kila Mtu hapa JamiiForums akilini mwake amejaa tu GENTAMYCINE kwani huu sasa ni Uzi wa Pili leo Nafuguliwa hapa.Mwalimu GENTAMYCINE: Lamomy Kwanini umechelewa kuja shule?
Lamomy: Kwasababu ya maelekezo ya kibao barabarani.
Mwalimu Genta: Maelekezo ya kibao yanahusianaje na uchelewaji?
Lamomy: Kibao kimeandikwa "School Ahead, Go Slow!" kwahiyo nikaona nisivunje sheria.
Itakuwa we ndio super star wa JF, game changer 😂Yaani kila Mtu hapa JamiiForums akilini mwake amejaa tu GENTAMYCINE kwani huu sasa ni Uzi wa Pili leo Nafuguliwa hapa.
Wewe ni genius boss la ma boss lazima utajwe.Yaani kila Mtu hapa JamiiForums akilini mwake amejaa tu GENTAMYCINE kwani huu sasa ni Uzi wa Pili leo Nafuguliwa hapa.
Ninasikitka tu kuwa hata Wewe Mkongwe hapa JamiiForums umechelewa kulijua hili au hukulijua tokea Siku nyingi Mkuu.I
Itakuwa we ndio super star wa JF, game changer 😂
MBARIKIWA TUKUKA wa Mwenyezi Mungu. Halafu kinachonishangaza sasa wale WASIONIPENDA ndiyo Kutwa hawawezi kuingia ( Log In ) hapa JamiiForums na wasitafute Mada zangu mbalimbali. Hivi Mkuu Mtu akisema au akionyesha kuwa HAMPENDI kabisa GENTAMYCINE halafu bado tu anamfuatilia huyo siyo Mpumbavu na Mwendawazimu tukuka?Wewe ni genius boss la ma boss lazima utajwe.
Aahh... Hilo nakosaje kulijua,Najua mkongwe.Nasikitka sana kuwa hata Wewe Mkongwe hapa JamiiForums umechelewa kulijua hili au hukulijua tokea Siku nyingi Mkuu.
Huyo atakuwa juha kabisa, anatakiwa atajwe kwenye list ya makonda.MBARIKIWA TUKUKA wa Mwenyezi Mungu. Halafu kinachonishangaza sasa wale WASIONIPENDA ndiyo Kutwa hawawezi kuingia ( Log In ) hapa JamiiForums na wasitafute Mada zangu mbalimbali. Hivi Mkuu Mtu akisema au akionyesha kuwa HAMPENDI kabisa GENTAMYCINE halafu bado tu anamfuatilia huyo siyo Mpumbavu na Mwendawazimu tukuka?
hahahAahh... Hilo nakosaje kulijua,Najua mkongwe.
Ni kenge wa aina yakoMleta mada ni aina gani ya kenge commodo dragon au monitor lizard
Ndiyomaana mama yako anapenda ninavyo mpelekea mkuyengeNahisi dume la reptilia lilikuwa ni kenge na jike ni mjusi kafiri walipokutana kujamiiana ndipo ukatokea wewe
Basi sawa,naona umeamua kuwawapapatikia wanaume wenzako na huyo jamaa anavyopeda vinyeo awezi kukuachaNdiyomaana mama yako anapenda ninavyo mpelekea mkuyenge