Kisa cha Mwalimu Genta na mwanafunzi wake aitwaye Lamomy

Yaani kila Mtu hapa JamiiForums akilini mwake amejaa tu GENTAMYCINE kwani huu sasa ni Uzi wa Pili leo Nafuguliwa hapa.
 
Wewe ni genius boss la ma boss lazima utajwe.
MBARIKIWA TUKUKA wa Mwenyezi Mungu. Halafu kinachonishangaza sasa wale WASIONIPENDA ndiyo Kutwa hawawezi kuingia ( Log In ) hapa JamiiForums na wasitafute Mada zangu mbalimbali. Hivi Mkuu Mtu akisema au akionyesha kuwa HAMPENDI kabisa GENTAMYCINE halafu bado tu anamfuatilia huyo siyo Mpumbavu na Mwendawazimu tukuka?
 
Huyo atakuwa juha kabisa, anatakiwa atajwe kwenye list ya makonda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…