Vladimirr
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 546
- 569
Umemjibu kwa ujumla sana mkuu. anaweza akatatizika sana kama si muislam ni vyema ungemuelekeza uharamu wa qaswida unakuja vipi na wapi inakuwa halali.
tofauti ni hitikadi tu mkuu waislam wenye hitikadi kali ni wale wanaofuata kila kitu alicho elekeza mtume nikiwa na maana matendo na nyendo za mtume hawa wanaitwa suni
kwa wepesi hawa ndio wale ambao hufuga ndevu kama ni wake wanne kanzu fupi ki ujumla hawa jambo ambalo halikufanyika kipindi cha mtume wao hawalifanyi lau kama limeelekezwa kwenye quran
waislam wa leo tumeanza kuimba kasda na kasda zimeanza kuimbwa baada ya mtume na zimeimbwa kwenye maulid (maadhimisho ya siku ya kuzaliwa mtume)
hii ndiyo imefanya mpaka leo watu wanaimba kasda
lakin katka enzi za mtume kulikuako na maduf tu pasina kasda
sidhani kama nimeeleweka