Kisa cha Rais John Pombeo na David Albert (sehemu ya pili)David Albert alivyomtapeli Rais John Pombeo

Kisa cha Rais John Pombeo na David Albert (sehemu ya pili)David Albert alivyomtapeli Rais John Pombeo

mdukuzi

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
20,925
Reaction score
51,688
Tunaendelea na simulizi ya kweli ya Rais John Pompeo na swahiba wake David Albeet Basheet

Baada ya Rais Pompeo kuingia madarakani alitengeneza chamandani ya chama kwa kutoa wenye chama na kupachika watu wake,akatengeneza serikali kivuli isiyo rasmu ndani ya serikali yake.

David Albeet Basheet akawa mkuu wa serikali bandia ndani ya serikali kuu,

Akaanzisha kampenii ya madawa ya kulevya kwa kukamata na kutisha wauza unga wa kisiwa hicho cha bahari ya Hindi.

Mabegi ya fedha yakawa yakawa yanapelekwa kwake na wauza unga baada ya kurishiwa kufungwa.

Kumbuka zao kuu la nchi hiyo ni korosho na serikali ya kisiwa hicho ikilisimamia swala hilo kikajikuta kina upungufu wa magunia ya kuhifadhia hizo korosho.

Serikali ikaomba msaada wa magunia toka kwa mfanyabiashara maarufu nchini humo. Tofauti na matarajio yao yule mfanyabiashara akakataa kwa madai ya kuwa anaidai serikali pesa nyingi.

David Albert akaingia kazini kwa kumteka huyo mfanyabiashara na kudai ransom ya bilioni moja ili kumkomoa.familia ya mfanyabiashara ikazitafuta hizo fedha nakumkabidhi bwana Basheet.

Basheet kwa tamaa yake akatia ndani pesa zote bila kupeleka mgao kwa bosi wake Bwana John Pompeo,hali hiyo ilimkasirisha sana Rais Pompeo

Itaendelea.....
 
Haka kajamaa kanaishi temeke nakafahamu.

Ni fundi makenika , wazazi wake waliwahi kuniomba nimtafutie ajira nikafanya hivyo.

Sasa bwana mdogo nakushauri tu uendelee kupiga deiwaka hapo gereji hizi stori za kutunga achana nazo.
 
David Albert akaingia kazini kwa kumteka huyo mfanyabiashara na kudai ransom ya bilioni moja ili kumkomoa.familia ya mfanyabiashara ikazitafuta hizo fedha nakumkabidhi bwana Basheet.
Kumbe
 
Haka kajamaa kanaishi temeke nakafahamu.

Ni fundi makenika , wazazi wake waliwahi kuniomba nimtafutie ajira nikafanya hivyo.

Sasa bwana mdogo nakushauri tu uendelee kupiga deiwaka hapo gereji hizi stori za kutunga achana nazo.
Msukule wa pompeo vp upo
 
Watu tuna shida ya maji, umeme na chakula unaletea upuuzi. We kama huna ubongo wa mbwa basi umezaliwa kwa b.a.o la mast.e.r.bati.on.
 
Pompeo alikuwa na maji na umeme wa uhakika, na kufikia sasa kungekuwa na umeme kila kitongoji, alishafikia 90% ya vijiji, sasa badala kuja na mitusi, huku maji tu yanawashinda, mmeshindwa kukopesha wanafunzi, mmetelekeza vituo vya afya na barabara za vijijini alizoanza kuweka lami, mnalidhihaki bwawa la Nyerere, mnagawa Pato la taifa nusu kwa 2% ya watu, mmerudisha panyaroad, mnazuia ujenzi wa makanisa, basi na Hilo kaliangalieni!!!!!
 
Serikali ikaomba msaada wa magunia toka kwa mfanyabiashara maarufu nchini humo. Tofauti na matarajio yao yule mfanyabiashara akakataa kwa madai ya kuwa anaidai serikali pesa nyingi.

David Albert akaingia kazini kwa kumteka huyo mfanyabiashara na kudai ransom ya bilioni moja ili kumkomoa.familia ya mfanyabiashara ikazitafuta hizo fedha nakumkabidhi bwana Basheet.

Basheet kwa tamaa yake akatia ndani pesa zote bila kupeleka mgao kwa bosi wake Bwana John Pompeo,hali hiyo ilimkasirisha sana Rais Pompeo

Itaendelea.....
Duh...!.
P
 
Hizi story za ujinga na upumbafu.Hatuna maji ,hatuna umeme ,Mtu unatunga ujinga .
Kabisa,,
Tena Kila kukicha wanaibuwa upuuzi mpya,

Inchi ipo kwenye mikono yenu kwasasa,,
Tunahitaji maendeleo ya INCHI.
Sio story za vijiweni..

MAGUFULI hayupo tena,,
Mungu amlaze mahala pema.
 
Back
Top Bottom