Kisa cha Rais Magufuli na Rais wa TUCTA aliyekuwa na vyeti Feki

Lissu ni Mr Clean la sivyo alishaozea Jela kitambo. Same as Mbowe ni Bilionaire ambaye makampuni yake hayana kashfa kabisa . Nje ya hapo wangemnyonyoa hadi nywele.
Yaani mbowe angekuwa mtu wa konakona kwenye biashara zake ngepewa kesi mbaya ya kuhujumu uchumi
 
Inasikitisha sana
 
Tuishi maisha ya amani na upendo, tusimnyanyase mtu, tusimnyanyapae mtu, tusiue, tusiibe, tusiseme uongo sababu maisha ya hapa Duniani ni mafupi sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…