- Thread starter
- #61
Yaani mbowe angekuwa mtu wa konakona kwenye biashara zake ngepewa kesi mbaya ya kuhujumu uchumiLissu ni Mr Clean la sivyo alishaozea Jela kitambo. Same as Mbowe ni Bilionaire ambaye makampuni yake hayana kashfa kabisa . Nje ya hapo wangemnyonyoa hadi nywele.