Kisa cha Rais Magufuli na Rais wa TUCTA aliyekuwa na vyeti Feki

Kisa cha Rais Magufuli na Rais wa TUCTA aliyekuwa na vyeti Feki

Namkumbuka Magufuli kwa kitu kimoja,
Akijua we ni threat kwake basi atatafuta mapungufu yako kisheria ambayo yanawza kugeuka jinai ili uwe mtumwa wake
EL alitaka kumvimbia akaitwa ikulu akaonyeshwa faili lake toka kwa DPP akaambiwa join us au tukutane kisutu,hajakaa sawa likavutwa faili la mkwe wake EL anaitwa Sumari akaambiwa join us au mkweo aoezee jela.
EL akichekecha kichwa akasalimu amri nani hapendi kiishi uraiani.

Orodha ni ndefu kuna RA mdogo wake alikamatwa na nyara za serikali na silaha kinyume cha sheria,RA akaitwa ikulu akaambiwa share zake zote za Radio M na Tv ya canal 10 azikabidhi kwenye chama chetu au mdogo wake afiie jela palepale RA akagawa share zake zote kwa chama kubwa.

Aliponogewa ndio akaanzisha plea bargain akachota mabilioni huko kama sio matrilioni toka kwa aliowatarget.

Unamkumbuka yule Rais wa Tucta aliyempelekesha Jk mpaka akaja na msemo wa mbayuwayu akili za kuambiwa changanya na zako?

Sasa kidogo Jpm yamkute kuna rais wa Tucta alitaka kumvimbia akaitwa akaambiwa we bwana wee acha ujanja wako una vyeti feki so tulia tule keki ya taifa ,jamaa akawa mpole,kwa kipindi chote cha utawala wake huyo bwana hakuwahi kuwatetea wafanyakazi.

Mnaodhani hii ni stori ya kufikirika ni kwamba huyo bwana ni msomi kweli,alikuwa ni daktari pale hospitali ya iringa,alizaliwa kijiji cha mtandika B,kata ya Ruaha Mbuyuni,wilaya ya kilolo,katika harakati za kutafuta elimu alitumia jina la mtu aliyefaulu ila akaitendea haki hiyo fursa akasoma mpaka kuwa doctor.

Watu wake wa karibu walimjua kwa jina la S.Kitamxxx..i ila akaja kutumia jina la Y Msigxxxxx

Case yake haina tofauti na ya Bashite.

RIP JPM
Kwa maana kisasi ni juu yangu asema "BWANA WA MAJESHI"
 
Tunahitaji rasimu ya wananchi maana ya warioba ina mtazamo wa kisiasa zaidi
Inaelezea na kujikita sana kwenye mgawanyo wa madaraka zaidi ya kuendesha nchi kwa misingi ya usawa, uwajibikaji na maendeleo ya kisekta.

Katiba ya Warioba inakosa uhalali kwa sababu hadi sasa ni wanasiasa pekee wanaitumia as turufu.

Katiba ya Wariona ukisoma vifungu vya 62 na 63 vinapingana vyenyewe

Tunahitaji Katiba inayobeba Hatima ya Tanzania na Watanzania na siyo hatma ya viongozi pekee
Ya hivyo hayiwezi kupatikana Leo Wala kesho kwa sababu , wenye Nchi hawajaona uhitaji wake.

Kila wakigeuka nyuma nakutazama katiba hii tulio nayo inavyo siginwa wanakosa moral ya kuiboresha au kuja na hiyo mpya.

Hapo ndipo wanasiasa wanapo tumia mwanya huo Kuja na katiba Yao , yenye kusheheni nguvu zakugawana madraka , Huku mtawaliwa akiachwa bila chake.
 
Ya hivyo hayiwezi kupatikana Leo Wala kesho kwa sababu , wenye Nchi hawajaona uhitaji wake.

Kila wakigeuka nyuma nakutazama katiba hii tulio nayo inavyo siginwa wanakosa moral ya kuiboresha au kuja na hiyo mpya.

Hapo ndipo wanasiasa wanapo tumia mwanya huo Kuja na katiba Yao , yenye kusheheni nguvu zakugawana madraka , Huku mtawaliwa akiachwa bila chake.
Siyo mjmu wala wewe atakayechukua hatua.
Amini nakuambia wanyonge hawa wataamka soon
 
Tunahitaji rasimu ya wananchi maana ya warioba ina mtazamo wa kisiasa zaidi
Inaelezea na kujikita sana kwenye mgawanyo wa madaraka zaidi ya kuendesha nchi kwa misingi ya usawa, uwajibikaji na maendeleo ya kisekta.

Katiba ya Warioba inakosa uhalali kwa sababu hadi sasa ni wanasiasa pekee wanaitumia as turufu.

Katiba ya Wariona ukisoma vifungu vya 62 na 63 vinapingana vyenyewe

Tunahitaji Katiba inayobeba Hatima ya Tanzania na Watanzania na siyo hatma ya viongozi pekee
Kawaida sisi siku zote huwa tunapigania masilahi ya wanasiasa tu.
 
Yeye kila kitu ilikuwa ni fekero.
Jina feki.
Upendo feki.
Huruma feki.
PhD. feki.
Kicheko feki.
Furaha feki.
Huzuni feki.
Uzalendo feki.
Uzuri aliwajibikia na serikali yake ndio maana hadi sasa bado analaumiwa kwa yale yaliyoonekana kutokuwa sahihi chini ya uongozi wake, sasa ni tofauti na sasa ambapo Samia yeye hawajibiki kwa lolote ndio maana lawama zote huishia kwa mawaziri wake tu na yeye hukuti hata kuzungumzia hayo malalamiko.
 
ila haya mambo inawezekana yakawa kweli kwasababu utawala ule nimewahi kushuhudia mzee mmoja pale mtwara mamlaka inamwambia atanyang'anywa korosho zake kama tani 50 alizovuna shambani kwake na atapewa kesi ya ununuaji kangomba kisa tu alikataa kutoa mchango wa mafuta kwa msafara wa CCM mkoa
Hizo stori za kwenye vijiwe vya kahawa.
 
Namkumbuka Magufuli kwa kitu kimoja,
Akijua we ni threat kwake basi atatafuta mapungufu yako kisheria ambayo yanawza kugeuka jinai ili uwe mtumwa wake
EL alitaka kumvimbia akaitwa ikulu akaonyeshwa faili lake toka kwa DPP akaambiwa join us au tukutane kisutu,hajakaa sawa likavutwa faili la mkwe wake EL anaitwa Sumari akaambiwa join us au mkweo aoezee jela.
EL akichekecha kichwa akasalimu amri nani hapendi kiishi uraiani.

Orodha ni ndefu kuna RA mdogo wake alikamatwa na nyara za serikali na silaha kinyume cha sheria,RA akaitwa ikulu akaambiwa share zake zote za Radio M na Tv ya canal 10 azikabidhi kwenye chama chetu au mdogo wake afiie jela palepale RA akagawa share zake zote kwa chama kubwa.

Aliponogewa ndio akaanzisha plea bargain akachota mabilioni huko kama sio matrilioni toka kwa aliowatarget.

Unamkumbuka yule Rais wa Tucta aliyempelekesha Jk mpaka akaja na msemo wa mbayuwayu akili za kuambiwa changanya na zako?

Sasa kidogo Jpm yamkute kuna rais wa Tucta alitaka kumvimbia akaitwa akaambiwa we bwana wee acha ujanja wako una vyeti feki so tulia tule keki ya taifa ,jamaa akawa mpole,kwa kipindi chote cha utawala wake huyo bwana hakuwahi kuwatetea wafanyakazi.

Mnaodhani hii ni stori ya kufikirika ni kwamba huyo bwana ni msomi kweli,alikuwa ni daktari pale hospitali ya iringa,alizaliwa kijiji cha mtandika B,kata ya Ruaha Mbuyuni,wilaya ya kilolo,katika harakati za kutafuta elimu alitumia jina la mtu aliyefaulu ila akaitendea haki hiyo fursa akasoma mpaka kuwa doctor.

Watu wake wa karibu walimjua kwa jina la S.Kitamxxx..i ila akaja kutumia jina la Y Msigxxxxx

Case yake haina tofauti na ya Bashite.

RIP JPM
Mbn yey mwenye alikuwa na PhD feki alipo hojiwa na kijna mmoja wa CDM Yule kijana hayupo mpk sas ajulikani aliko
 
..kwa Tundu Lissu ndio waligonga kisiki.

..walitafuta kashfa dhidi yake wakakosa.

..wakamtishia makesi hakutishika.

..wakaamu kumfurumushia marisasi ili afe.
Lissu ni Mr Clean la sivyo alishaozea Jela kitambo. Same as Mbowe ni Bilionaire ambaye makampuni yake hayana kashfa kabisa . Nje ya hapo wangemnyonyoa hadi nywele.
 
Namkumbuka Magufuli kwa kitu kimoja,
Akijua we ni threat kwake basi atatafuta mapungufu yako kisheria ambayo yanawza kugeuka jinai ili uwe mtumwa wake
EL alitaka kumvimbia akaitwa ikulu akaonyeshwa faili lake toka kwa DPP akaambiwa join us au tukutane kisutu,hajakaa sawa likavutwa faili la mkwe wake EL anaitwa Sumari akaambiwa join us au mkweo aoezee jela.
EL akichekecha kichwa akasalimu amri nani hapendi kiishi uraiani.

Orodha ni ndefu kuna RA mdogo wake alikamatwa na nyara za serikali na silaha kinyume cha sheria,RA akaitwa ikulu akaambiwa share zake zote za Radio M na Tv ya canal 10 azikabidhi kwenye chama chetu au mdogo wake afiie jela palepale RA akagawa share zake zote kwa chama kubwa.

Aliponogewa ndio akaanzisha plea bargain akachota mabilioni huko kama sio matrilioni toka kwa aliowatarget.

Unamkumbuka yule Rais wa Tucta aliyempelekesha Jk mpaka akaja na msemo wa mbayuwayu akili za kuambiwa changanya na zako?

Sasa kidogo Jpm yamkute kuna rais wa Tucta alitaka kumvimbia akaitwa akaambiwa we bwana wee acha ujanja wako una vyeti feki so tulia tule keki ya taifa ,jamaa akawa mpole,kwa kipindi chote cha utawala wake huyo bwana hakuwahi kuwatetea wafanyakazi.

Mnaodhani hii ni stori ya kufikirika ni kwamba huyo bwana ni msomi kweli,alikuwa ni daktari pale hospitali ya iringa,alizaliwa kijiji cha mtandika B,kata ya Ruaha Mbuyuni,wilaya ya kilolo,katika harakati za kutafuta elimu alitumia jina la mtu aliyefaulu ila akaitendea haki hiyo fursa akasoma mpaka kuwa doctor.

Watu wake wa karibu walimjua kwa jina la S.Kitamxxx..i ila akaja kutumia jina la Y Msigxxxxx

Case yake haina tofauti na ya Bashite.

RIP JPM
Uzi wa moto huu
 
Back
Top Bottom