Kisa cha Rich Mavoko na ushauri wa kuuza Ruby

Nafaka, ikumbukwe pia kufuata ushauri sio vibaya pia unaposhauriwa ni vizuri kupima kwa urefu na mapana huo ushauri sio kupuuzia tu

Kichwa cha serikali yangu iliyojengwa na watu
 
ikumbukwe pia kufuata ushauri sio vibaya pia unaposhauriwa ni vizuri kupima kwa urefu na mapana huo ushauri sio kupuuzia tu

Kichwa cha serikali yangu iliyojengwa na watu
yah Sure
 
KWELI NDUGU..LEO MM SINA MKE
Dah mifano yko miwili ya kwanza imenisikitisha kukiko hata Maviko ukiyemlenga hapa kwenye uzi.Pole sana mkuu.pole sana ila usikaye tamaa.Na wish sana kusikia kama umweza kusimama tayar na maisha yako hii itakua poa zaid.Mambo ya mtoto na nini hayo yapo tu utapata na kwa early 30 bado hujachelewa sana.
 
Weka picha ya huyo fey tumuone, mavoko diva kapiga vizuri tu na demu hakuwahi kukataa sehemu yoyote, sasa hata huyo demu wa mavoko ukimpata utampeleka wapi wakati unalala sebuleni kwa shemeji yako? Au mavoko alikugonga hajakulipa hela yako?
 
huko sasa unapoenda sio
Au unataka Wewe ndo uwe dem wake mavoko? Achaga ujinga kijana..
 
Ushauri wangu kwa madogo waliopo pale Wcb hata kama wananyonywa waendelee kupiga kazi kwa kujituma,kidogo wanachopata wafungue biashara zao binafsi tofauti na mziki lile jina la Wcb litaendelea kuwabeba huko kwenye biashara zao.

Ushauri mzuri sana
 
Kuna ka ukweli fulani, ila mwanaume utashikiwa vipi akili na mtu au watu?
 
Yes nilipambana sana. Mwaka 2013 nilikimbilia
Kuna ka ukweli fulani, ila mwanaume utashikiwa vipi akili na mtu au watu?
Kwani mwanaume ni Nani yeye siyo mtu.
 
Una series ya blindspot hapo ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…