Habari zenu wanajukwaa,
Naomba kwa ufupi sana nibainishe sababu kadhaa zinazochangia kushukaa kwa kiwango cha elimu katika mkoa wa Tabora,kwanza mazingira magumu kutokana na jiografia ya mkoa ulivyo,pili uhaba wa walimu na vifaa vya kufundishia kutokana na idadi kubwa ya walimu kuhama mkoa kwa kukimbia mazingira magumu,tatu tafiti zinaonesha 70% ya watumishi {walimu} wanaishi na mishahara chini ya 50000/=kutokana na madeni kuwa mengi,lakini wapo wengine hawana mishahara hata kidogo na wapo kazini...nne mwamko mdogo wa kielimu mkoani humo maana yasemekana wapo wazazi ambao huwajenga watoto kutofanya vizuri kwenye masomo....itaendelea.
Naomba kwa ufupi sana nibainishe sababu kadhaa zinazochangia kushukaa kwa kiwango cha elimu katika mkoa wa Tabora,kwanza mazingira magumu kutokana na jiografia ya mkoa ulivyo,pili uhaba wa walimu na vifaa vya kufundishia kutokana na idadi kubwa ya walimu kuhama mkoa kwa kukimbia mazingira magumu,tatu tafiti zinaonesha 70% ya watumishi {walimu} wanaishi na mishahara chini ya 50000/=kutokana na madeni kuwa mengi,lakini wapo wengine hawana mishahara hata kidogo na wapo kazini...nne mwamko mdogo wa kielimu mkoani humo maana yasemekana wapo wazazi ambao huwajenga watoto kutofanya vizuri kwenye masomo....itaendelea.