LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 18,037
- 33,681
Niliwahi kuongea kitu kinachotaka kufanana na hiki miaka ya nyuma na leo nimekutana na mwandishi ambae amelifanyia jambo hili utafiti wa kina.
Ni mwandishi / mtafiti ambae ni mtaalamu wa kujifundisha mwenyewe (A self taught expert) in the fields of 👇👇👇
1. The Sacred Art of Spiritual Languages (Sanaa ya lugha za viumbe wa kiroho)
2. The Art Of Sacred Voxiology : 👇👇👇👇
This is the art that deals with a very deeper understanding of the meaning and interpretations of inner -voices and what they represent in both in the realm of the spirits and in the nature.
Anasema baada ya ku ustudy wimbo wa Hit Em Up kwa takribani miaka 20, amegundua kwamba wakati Tupac anarekodi wimbo " Hit Em Up" alikuwa possessed na kiumbe wa kiroho.
Kiumbe huyo wa kiroho ndio aliekuwa anaongea kwenye wimbo huo kupitia sauti na midomo ya Tupac.
Na katika kuongea huko, kiumbe huyo wa kiroho alikuwa ana reveal details zote na majibu yote kuhusu maswali yote kuhusu vifo vya Tupac na Biggie.
Sasa anasema kwenye kitabu chake hicho, anafanya mambo makuu mawili kwa wanafunzi wake( his srudents)
1. He is proving to you beyond any reasonable doubt that at the time when Tupac Shakur was being recording the song Hit Em Up, he was being actively possessed by a spiritual being and that It was this spiritual being who was actually speaking through the mouth and voice of Tupac Shakur.
2. He is explaining in details, the true meaning of each and every word that comes from the mouth of Tupac Shakur in the song Hit Em Up.
Kitabu chake hicho amekiweka kwenye mtindo wa video documentary ambayo itaanza kurushwa kupitia channel yake ya You Tube kuanzia tarehe 09 SEPTEMBA 2024 (siku aliyo kufa Pac) hadi tarehe 09 Macho 2025 (siku ya kifo cha Biggie)
Maana yake ni kwamba tutatazama documentary hiyo bure kabisa.
Let's wait and see.
Nimeikuta kwenye group la Facebook LINALO kwenda kwa jina 👇👇👇
SPIRITUAL ASPECT OF THE SONG HIT EM UP.
Nimeshindwa ku upload video inachukua muda mrefu.
Ni ya kiingereza though so kama English haipandi huwezi elewa ingawa anaongea English simple kabisa
Ni mwandishi / mtafiti ambae ni mtaalamu wa kujifundisha mwenyewe (A self taught expert) in the fields of 👇👇👇
1. The Sacred Art of Spiritual Languages (Sanaa ya lugha za viumbe wa kiroho)
2. The Art Of Sacred Voxiology : 👇👇👇👇
This is the art that deals with a very deeper understanding of the meaning and interpretations of inner -voices and what they represent in both in the realm of the spirits and in the nature.
Anasema baada ya ku ustudy wimbo wa Hit Em Up kwa takribani miaka 20, amegundua kwamba wakati Tupac anarekodi wimbo " Hit Em Up" alikuwa possessed na kiumbe wa kiroho.
Kiumbe huyo wa kiroho ndio aliekuwa anaongea kwenye wimbo huo kupitia sauti na midomo ya Tupac.
Na katika kuongea huko, kiumbe huyo wa kiroho alikuwa ana reveal details zote na majibu yote kuhusu maswali yote kuhusu vifo vya Tupac na Biggie.
Sasa anasema kwenye kitabu chake hicho, anafanya mambo makuu mawili kwa wanafunzi wake( his srudents)
1. He is proving to you beyond any reasonable doubt that at the time when Tupac Shakur was being recording the song Hit Em Up, he was being actively possessed by a spiritual being and that It was this spiritual being who was actually speaking through the mouth and voice of Tupac Shakur.
2. He is explaining in details, the true meaning of each and every word that comes from the mouth of Tupac Shakur in the song Hit Em Up.
Kitabu chake hicho amekiweka kwenye mtindo wa video documentary ambayo itaanza kurushwa kupitia channel yake ya You Tube kuanzia tarehe 09 SEPTEMBA 2024 (siku aliyo kufa Pac) hadi tarehe 09 Macho 2025 (siku ya kifo cha Biggie)
Maana yake ni kwamba tutatazama documentary hiyo bure kabisa.
Let's wait and see.
Nimeikuta kwenye group la Facebook LINALO kwenda kwa jina 👇👇👇
SPIRITUAL ASPECT OF THE SONG HIT EM UP.
Nimeshindwa ku upload video inachukua muda mrefu.
Ni ya kiingereza though so kama English haipandi huwezi elewa ingawa anaongea English simple kabisa