King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Nimesikia Interview Moja Talib Kweli anasema jamaa aliMtext kuwa anawish kurudi kwa gemu wafanye kazi PAMOJA na Talib..
Baada siku kadha kupita jamaa akakata moto kihvyo inaumiza mno dahh
Noma sana mule ndani watu wamekunya kinomaHakuna kitu kama hicho na wale madogo nao walikua ni majini sema kizazi cha kina Pac watu walikua wanaimba sana aisee..
Hakika mkuuAiseee he couldn't make it ,we belong to God and to him we shall return.
Brother ameshasema anakuja ku prove beyond any reasonable doubt wewe unasema hakuna kitu kama hicho what is your proof?Hakuna kitu kama hicho na wale madogo nao walikua ni majini sema kizazi cha kina Pac watu walikua wanaimba sana aisee..
Ule mwimbo niliurudia wiki iliyopita maana sio wa kusikiliza home na watoto inatakiwa uwe na headphones wale wakina Idd Amin,Sadam na Gadaffi wale watoto walikua wana balaa sana mimi nilipousikiliza ule mwimbo kwa mara ya kwanza sikuupenda nilijua utatengeneza bifu la hatari na kweli maana wale wakina Mob deep nao wamepondwa balaa..harafu enzi zetu Pac akiwakataa watu wa East Coast nasi tunakua upande wake.Noma sana mule ndani watu wamekunya kinoma
Noma sana hivi umeshawahi kuitazama Ile documentary ya BEEF...aisee Kuna visanga sana kati ya East coast na West coastUle mwimbo niliurudia wiki iliyopita maana sio wa kusikiliza home na watoto inatakiwa uwe na headphones wale wakina Idd Amin,Sadam na Gadaffi wale watoto walikua wana balaa sana mimi nilipousikiliza ule mwimbo kwa mara ya kwanza sikuupenda nilijua utatengeneza bifu la hatari na kweli maana wale wakina Mob deep nao wamepondwa balaa..harafu enzi zetu big akiwakataa watu wa East Coast nasi tunakua upande wake.
Inasemekana East coast ndio real Hip-hop ilipozaliwaUle mwimbo niliurudia wiki iliyopita maana sio wa kusikiliza home na watoto inatakiwa uwe na headphones wale wakina Idd Amin,Sadam na Gadaffi wale watoto walikua wana balaa sana mimi nilipousikiliza ule mwimbo kwa mara ya kwanza sikuupenda nilijua utatengeneza bifu la hatari na kweli maana wale wakina Mob deep nao wamepondwa balaa..harafu enzi zetu Pac akiwakataa watu wa East Coast nasi tunakua upande wake.
Yahh nimesikia mkuu
pia jamaa nilikuwa napenda sana flow zake zinafanana sana Pharaoh Monch
Dahh huyu mwamba wakumzingatia ana kitu🤔Huyu jamaa wa kitabu pia kamzungumzia Chino Xl. Kasema ataelezea kwenye documentary yake, who was Chino Xl in the realm of the spirits and what was he representing in the realm of the spirits.
Anajuaje? Anajua kwa kusoma sauti ya ndani ya mtu. Nilisha sema earlier kwamba yeye anajinasibu kama mtaalamu wa kusoma sauti zaa ndani. Ana sema " our voices are as unique as our finger prints " kama ambavyo ma palmists wanaweza kusoma maisha ya mtu kwa kutumia alama za Mikono yake na kumjua yeye ni nani katika ulimwengu wa roho basi vivyo hivyo yeye pia ana uwezo wa kumsoma mtu kwa kupitia sauti yake ya ndani na akamjua mtu huyo ni nani katika nini. Anasoma sauti yako ya ndani kwa kupitia sauti yako ya nje.
Ndio maana hata kuhusu ishu ya Tupac, anasema ameustudy wimbo Hit Em Up kwa miaka 20 na kwa kutumia expertise yake amegundua kwamba that was not Tupac but a spirit speaking through his mouth and voice.
I am so interested with his teaching. Atafika mbali sana.
The guy is genius na ana majibu karibu yote kuhusu Tupac and Biggie.
Mimi mwenyewe tu nafuatilia masomo yote lakini nimeikuta nafahamu vingi sana.
Aisee kuanzia kesho nitakuwa napost NONDO zake hapa kila siku hadi siku hiyo ya SEPTEMBER 13, 2024 ambayo ndio documentary yake itaanza kuruka You Tube.Dahh huyu mwamba wakumzingatia ana kitu🤔
Yaa ni kweli wale wakina Daz Efx ni watu wa East sema Pac alienda West huko Califonia kupambana na kina Big tu..Inasemekana East coast ndio real Hip-hop ilipozaliwa
Niliiona fikiria mwaka 1996 Pac anakufa kwenye BMW 750i ambayo ilichukua miaka mingi sana kuanza kuonekana kwenye hizi Nchi zetu wale wahuni walikua wanakula raha sana aisee..Noma sana hivi umeshawahi kuitazama Ile documentary ya BEEF...aisee Kuna visanga sana kati ya East coast na West coast
Kwa mujibu wa mwandishi jini hamkusaidia Tupac kuandika wimbo ila kiumbe wa kiroho Ali mpossess Tupac bila ridhaa yake na kurekodi wimbo kwa kutumia sauti na midomo ya Tupac. Kwa mujibu wa mwandishi , Tupac mwenyewe alikuja kustukia baadae alimwambia watu kwa code kwamba hakuwa yeye kwenye wimbo huo...Unaamini jini alimsaidia Tupac kuandika nyimbo.ila ukiambiwa mungu yupo unabisha