Kisa cha Wataliano walio muahidi Paolo Maldini kumlipia kisasi Demmetrio Albertini

Kisa cha Wataliano walio muahidi Paolo Maldini kumlipia kisasi Demmetrio Albertini

Unaikosea Heshima Ufaransa Kwa kusema kidogo France inaingia...

Ukiangalia tangu 98 Hadi 2022.. zimechezwa fainali 7 za kombe la dunia na Ufaransa kacheza Fainali nne na kuchukua kombe mara mbili unawezaje kuibeza timu ya hivi?....

Mi nadhani baada ya Italy ni Ufaransa hapo ni overall lakini currently Ufaransa ndo timu ya Taifa ya ulaya
Nakubaliana nawewe kabisa....ufaransa kizazi Chao cha dhahabu ni kile 1984,1998,na 2018 ila Germany na Italy Germany wamecheza final nyingi za Euro na WC tokea Enzi za nyuma tofauti France ambae ameanza kuwa Giant duniani mwaka 1998.
 
Dah hili tukio liliuma sana, wafaransa ni wachawi sana hii mechi walishinda kimazingara tu.
 
Mzee baba maneno umeyachonga ,hapana haya umeyadarizi.Kwa nini usiwe unaandika hata IG .Utayakimbiza mnoo mafala yanayoigana igana hukoo.Style ya uandishi imetulia sana.

@acmilan_swahili
 
  • Nzuri
Reactions: EEX
Back
Top Bottom