Kisa cha Wataliano walio muahidi Paolo Maldini kumlipia kisasi Demmetrio Albertini

Nakubaliana nawewe kabisa....ufaransa kizazi Chao cha dhahabu ni kile 1984,1998,na 2018 ila Germany na Italy Germany wamecheza final nyingi za Euro na WC tokea Enzi za nyuma tofauti France ambae ameanza kuwa Giant duniani mwaka 1998.
 
Dah hili tukio liliuma sana, wafaransa ni wachawi sana hii mechi walishinda kimazingara tu.
 
Mzee baba maneno umeyachonga ,hapana haya umeyadarizi.Kwa nini usiwe unaandika hata IG .Utayakimbiza mnoo mafala yanayoigana igana hukoo.Style ya uandishi imetulia sana.

@acmilan_swahili
 
Reactions: EEX
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…