Kisa cha Yanga na pori la nyuma ya nyumba

Kisa cha Yanga na pori la nyuma ya nyumba

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
76,107
Reaction score
160,001
Kule kwetu siku za nyuma, nyumba ilijengwa nyuma ikiwa na pori dogo. pori hili lilikuwa mahsusi kwa kujisaidia wanawake, wagonjwa, wazee na watoto.
pia mbali ya nyumba, umbali kama kilometa nne kulikuwa na pori kubwa sana, hili lilitumika na vijana pamoja na kina baba wenye nguvu kujisaidia.

Vijana walikuwa wakishindana mbio, wanajikusanya wengi kama wako kwenye marathon, kisha inahesabiwa mpaka tatu, mbio zinaanza kuelekea porini.

Wale waliokuwa wanakuwa wa mwisho kila siku kwnye mashimbano, walipewa ruhusa maalum ya kujisaidia kwenye pori dogo la nyuma ya nyumba.

Timu ya Yanga ni timu imara na kubwa sana hapa nyumbani, lakini kamwe haitakuja kufanya vyema kwenye michuano mikubwa ya kimataifa kwasababu ya roho ambayo Yanga inayo. (Falsafa).

Ukiangalia logo yao imejaa ghiriba tupu. Kuna bondia, Yanga haina timu ya masumbwi, kuna mcheza netiboli, Yanga haina timu ya netiboli. Pia kuna mwenge. Huu ndio kiashiria kikubwa cha roho inayoimaliza Yanga, mwenge hauvuki nje ya mipaka yetu. Mwenge ni wa humuhumu tu, ukitoka kijiji hiki, utaenda kijiji cha pili, tarafa na wilaya kisha mkoa mmoja baada ya mwingine.

Mimi ni mpenzi mkubwa sana wa Yanga, ila kwa kweli bila Yanga kubadili logo, na kubadili mipango yake ya maendeleo, maono na mbinu za mpira wa kisasa, kamwe haitakuja kufanikiwa.

Pia Yanga iache kujiona yenyewe ni sehemu ya jumuiya za CCM, iachane kabisa na mambo ya mwenge.
1660363643536.png
 
Kule kwetu siku za nyuma, nyumba ilijengwa nyuma ikiwa na pori dogo. pori hili lilikuwa mahsusi kwa kujisaidia wanawake, wagonjwa, wazee na watoto.
pia mbali ya nyumba, umbali kama kilometa nne kulikuwa na pori kubwa sana, hili lilitumika na vijana pamoja na kina baba wenye nguvu kujisaidia.

Vijana walikuwa wakishindana mbio, wanajikusanya wengi kama wako kwenye marathon, kisha inahesabiwa mpaka tatu, mbio zinaanza kuelekea porini.

Wale waliokuwa wanakuwa wa mwisho kila siku kwnye mashimbano, walipewa ruhusa maalum ya kujisaidia kwenye pori dogo la nyuma ya nyumba.

Timu ya Yanga ni timu imara na kubwa sana hapa nyumbani, lakini kamwe haitakuja kufanya vyema kwenye michuano mikubwa ya kimataifa kwasababu ya roho ambayo Yanga inayo. (Falsafa).

Ukiangalia logo yao imejaa ghiriba tupu. Kuna bondia, Yanga haina timu ya masumbwi, kuna mcheza netiboli, Yanga haina timu ya netiboli. Pia kuna mwenge. Huu ndio kiashiria kikubwa cha roho inayoimaliza Yanga, mwenge hauvuki nje ya mipaka yetu. Mwenge ni wa humuhumu tu, ukitoka kijiji hiki, utaenda kijiji cha pili, tarafa na wilaya kisha mkoa mmoja baada ya mwingine.

Mimi ni mpenzi mkubwa sana wa Yanga, ila kwa kweli bila Yanga kubadili logo, na kubadili mipango yake ya maendeleo, maono na mbinu za mpira wa kisasa, kamwe haitakuja kufanikiwa.

Pia Yanga iache kujiona yenyewe ni sehemu ya jumuiya za CCM, iachane kabisa na mambo ya mwenge.
View attachment 2322532
Hama yanga bhageshi, hiyo logo yao hiyo ni ya kishetwaini kabisa yaweza kukudhuru ufahamu wako.

Mimi nilikuwa yanga kabla hata ya CCM kuzaliwa, ila baada ya CCM kuzaliwa kisha wakachukua kila kitu kuanzia rangi na hilo limwenge lao nilipata kujua kuwa hiyo team ni mali ya CCM.

Nilihama mazimaa hadi wa leo
 
Hama yanga bhageshi, hiyo logo yao hiyo ni ya kishetwaini kabisa yaweza kukudhuru ufahamu wako.

Mimi nilikuwa yanga kabla hata ya CCM kuzaliwa, ila baada ya CCM kuzaliwa kisha wakachukua kila kitu kuanzia rangi na hilo limwenge lao nilipata kujua kuwa hiyo team ni mali ya CCM.

Nilihama mazimaa hadi wa leo
Ntahamia Azam
 
Kule kwetu siku za nyuma, nyumba ilijengwa nyuma ikiwa na pori dogo. pori hili lilikuwa mahsusi kwa kujisaidia wanawake, wagonjwa, wazee na watoto.
pia mbali ya nyumba, umbali kama kilometa nne kulikuwa na pori kubwa sana, hili lilitumika na vijana pamoja na kina baba wenye nguvu kujisaidia.

Vijana walikuwa wakishindana mbio, wanajikusanya wengi kama wako kwenye marathon, kisha inahesabiwa mpaka tatu, mbio zinaanza kuelekea porini.

Wale waliokuwa wanakuwa wa mwisho kila siku kwnye mashimbano, walipewa ruhusa maalum ya kujisaidia kwenye pori dogo la nyuma ya nyumba.

Timu ya Yanga ni timu imara na kubwa sana hapa nyumbani, lakini kamwe haitakuja kufanya vyema kwenye michuano mikubwa ya kimataifa kwasababu ya roho ambayo Yanga inayo. (Falsafa).

Ukiangalia logo yao imejaa ghiriba tupu. Kuna bondia, Yanga haina timu ya masumbwi, kuna mcheza netiboli, Yanga haina timu ya netiboli. Pia kuna mwenge. Huu ndio kiashiria kikubwa cha roho inayoimaliza Yanga, mwenge hauvuki nje ya mipaka yetu. Mwenge ni wa humuhumu tu, ukitoka kijiji hiki, utaenda kijiji cha pili, tarafa na wilaya kisha mkoa mmoja baada ya mwingine.

Mimi ni mpenzi mkubwa sana wa Yanga, ila kwa kweli bila Yanga kubadili logo, na kubadili mipango yake ya maendeleo, maono na mbinu za mpira wa kisasa, kamwe haitakuja kufanikiwa.

Pia Yanga iache kujiona yenyewe ni sehemu ya jumuiya za CCM, iachane kabisa na mambo ya mwenge.
View attachment 2322532
Kwani hizo timu zingine ambazo hazina mwenge wala bondia kwenye logo zao, ni zipi na zimefanikiwa kwa kiwango gani?
 
Akili za kiganga hizi unafanya ku agua agua ili utafite tatizo ila unaishia kwenda chaka.

Yanga ni Sports club sio only Football club, hivyo kama unaona kuna vitu vipo kwenye logo ila havionekani klabuni ujue zamani vilikuwepo hivyo hio sio kesi maana vita rudishwa tu hapo baadae, ni suala la muda tu hivyo haina haja kubadili Logo.

Mengine yote ni matatizo ya kiufundi tu yatokanayo na ukata wa fedha ila kama timu ikiwa vizuri kiuchumi itaweza kusajili vizuri na kuwamudu vizuri wachezaji na viongozi wao hatimae timu inaweza kufika mbali katika michuano mikubwa, ila hizi unga unga mwana pangu pakavu tia mchuzi hatutoboi hata tuchukue logo ya Bayern Munich
 
Back
Top Bottom