Juzi mwanangu NGADU kaniuliza, Baba unaandika Hadishi....... Mie nikamjibu, ndiyo, kisha akaniambia,
Bashi ukimaliza nishimulie.....................
Nasikitika sijamsimulia hadi leo..............
Nakupa kazi leo itabidi umtwangie simu kisha umsimulie.................................LOL
Ijumaa ijayo sipooo, nasafiri mie, naenda PUGE NZEGA, labda ujikumbushe za nyuma.....................LOLAsante Mtambuzi nilikuwa off ila nimeona niingie hapa kucheki Ijumaa umetuwekea nini
Utanitafuta basi nikutoe out baada ya kazi ngumu.