Notorious thug
JF-Expert Member
- Dec 29, 2021
- 2,817
- 10,667
Zakayo kwa Kiebrania Zakai(msafi,mnyoofu) alikua mkuu wa watoza ushuru na tajiri, alipata kibali cha kutoza kodi na mapato na kiasi kilichozidi alikiingiza mifukoni mwake. Aliishi maisha ya kifahari na kuponda mali. Zakayo alimsaliti Mungu na taifa lake .
Wakati Yesu anaingia Yeriko, Zakayo alipanda kwenye mti ili aweze kumwona kutokana na wingi wa watu, ila Yesu alimfuata na kumuamuru ashuke. Zakayo hakua na amani na maisha aliyokua anaishi.
Zakayo anasema, "tazama bwana, nusu ya mali zangu nawapa maskini na kumrudia Mungu." Hivyo hivyo kwa Mwigulu Nchemba, umetusaliti wananchi kwa tamaa za kodi na mapato, ni muda sahihi wa kuwarudia wananchii.
Wakati Yesu anaingia Yeriko, Zakayo alipanda kwenye mti ili aweze kumwona kutokana na wingi wa watu, ila Yesu alimfuata na kumuamuru ashuke. Zakayo hakua na amani na maisha aliyokua anaishi.
Zakayo anasema, "tazama bwana, nusu ya mali zangu nawapa maskini na kumrudia Mungu." Hivyo hivyo kwa Mwigulu Nchemba, umetusaliti wananchi kwa tamaa za kodi na mapato, ni muda sahihi wa kuwarudia wananchii.