Kisa Chid Benz, bifu la Lady Jaydee na Ray C laibuka upyaaaaaa

Komandoo binti machozi Vs Kiuno bila mfupa.... 😎

-Kaveli-
Binti machozi kuimba anajua nikikumbuka ile video yake ya kwanza machozi inatoka ilikuwa πŸ”₯ ray c nae kabalance kuimba kidogo fashooooon kidogo πŸ”₯
 
Ray c yupo relevant zaidi kwa lifestyle na kizazi cha sasa. Lady jay dee alikuwa anaiimbia old audience toka kitambo ndio maana licha ya pesa, bado anastruggle kutoa hitz

Ni hii mambo matano at least imepata mileage
I'll ndi ndi ndi, ni πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯. Una ijua??
 
Kwani Jaydee ni mzee?
Watu wengi hawajui umri wa mtu kuitwa mzee,Jide wanasema mzee,Ridhiwani anaitwa kijana,ilhali Ridhiwani ni mkubwa kwa Jide.
 
Hivi hawa si walipaswa wawe wanalea wajukuu sasa hivi? haya mambo wawaachie kina Zuchu.
 
Eti Ray c mtoto wa mjini πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ na kina dully sykes nao tuwaiteje ? Chalamila majina ya wahehe huko iringa NDIO useme mtoto wa mjini 🀣🀣🀣🀣 mtoto wa mjini sifa ya kwanza hazuzuki na mambo ya mjini sasa mpaka unakuwa drug addict wewe ni zuzu mcheki dully NDIO tafsiri hasa ya mtoto wa mjini sio huyo chalamila.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…