Jide ni hatari bwana mfano mwaka huu katoa Ngoma inaitwa "Mambo Matano-" Ngoma Kali sana japo mule kamchana sana GadnaKwenye uimbaji hapo kila mmoja ana ladha yake na wote wanajua na nyimbo zao zinaishi .
Ila Jide mpaka sasa anaweza kutoa hit song kwa upande wa Ray C jahazi limeshazama, si rahisi tena kutoa hit song.
Wakubwa zake miongoni mwao ni mim na nasema hivi jide ni hatari achana na huyo mtoto ana hit tatu tu toka aanze muziki..Unaongea nn yaani sentence mbili hazina uhusiano....Kila mtu ana chaguo lake dogo acha porojo.
Ray c ni mtoto wa mjini ,wa bush ndio mnashabikia jay dee kaulize kwa wakubwa wako.
Jide huyo kutwa kuimba na wanaume ,Ray C alikuwa na swagga...Kila mtu na mapendekezo yake simfuatilii jide hata kidogo ,sina mzuka nae .Wakubwa zake miongoni mwao ni mim na nasema hivi jide ni hatari achana na huyo mtoto ana hit tatu tu toka aanze muziki..
Utoto wa mjini upi unaosema wewe kula poda kwa ushawishi wa lord eyes..
Jide talent ya kawaida??Jide ni mshenzi kama washenzi wengine.
Alisema amemzidi Chidi Umri? Kile kijamaa cha Naija alichodate nacho wapo umri sawa?
Na kuanza kukejeli watu mitandaoni kunaonesha alivyo.
Talent ya kawaida, ila longetivity amefanikiwa.
Ray C talent kubwa Upumbavu wake umempoteza.
Ni mziki, tunaskiliza kupitia maskio.Jide talent ya kawaida??
Tuna masikio tofauti aisee.
Chid angetembea mule ingekua balaa sana, refer ile track ya hao ya mwasitiNarejea hapohapo kwenye bifu la yeye na Chid Benz
Nakumbuka aliwahi kutunga dis track ambayo alishirikiana na wasanii wake wa Machozi band, ngoma ilikwenda kwa jina la KUMBE NILIZAMA KWA BRAZAMEN na hii ilikua ni dis track kwa Chid Benz baada ya kumtaka uroda.
Pia hata ile track NALIA NA MOYO aliyomshirikisha Mr Blue alitakiwa akae Chid Benz ila kwakua walizinguana akampa Shavu Mr Blue........
Imagine unapiga mashine halafu yule mtoto anakuwa anakutazama usoni huku analalamika namna unavyompiga ukuni mtamu. Lile jicho akitazama kwa kulibidua kwa juu unaweza sema demu anakata roho kumbe anajicho la mlenda tu. Na zile lips, aisee mwisho alimfaidi huyu mtoto. Mimi ningeoa kabisaRay C mzuri wa sura kuliko Jide, hilo lipo wazi.
Body, lady j dee ana mwili wa kutomba, Ray C ni mtamu kote, kwa kutomba na kwa kuwa pisi kali ya kudate kote amefunika.tuongee yote ila jay dee mbaya jamani, huyu sidindishi hata kwa utani.
Chid angetembea mule ingekua balaa sana, refer ile track ya hao ya mwasiti
Chid ni mkali sijui jamaa aliingiaje kwenye madawa mpaka saivi lunya na yeye ni rapper
Mbona alirekodi kabisa mkuu mpaka radioni ilianza kugongwa ikiwa na verse ya chid ila ndiyo hivyo baada ya lady kufuta ile verse hata media ziliipotezea ule wimbo...Chid angetembea mule ingekua balaa sana, refer ile track ya hao ya mwasiti
Chid ni mkali sijui jamaa aliingiaje kwenye madawa mpaka saivi lunya na yeye ni rapper 😡🚮
Yaah sure, ila ni bahati nzuri sio mbaya.Ni mziki, tunaskiliza kupitia maskio.
Bahati mbaya kila mtu ana yake.