Kisa Chid Benz, bifu la Lady Jaydee na Ray C laibuka upyaaaaaa

Media moja imtafute doto wa Rashid
Anaenda kama Katwila nae aanze kulaumu wasanii wenzake
Q Chief alianza kupotezwa na Ruge kipindi hicho wameenda kufanya show kama sikosei Mwanza ilikuwa.

Wasanii wamefanya show ,Ruge akasema kuhusu pesa yao ya show wasubiri hatowalipa siku hiyo, Chila akaona sio kweli akamzaba kibao Ruge ,basi baada ya hapo Ruge akamfungia vioo mazima Chila na huo ukawa mwanzo wa Chila kupotea kwenye gemu.
 
Huyo jide anajionaga yeye ndio final say yaani ndio kila kitu
Alipopigwa dongo moja tu na mzee Gardner akabaki analia lia
Gardner alimwambia sibishani na mtu niliyemkojoza kwa miaka zaidi ya 20 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Jide hakujibu mashambulizi tena 😂😂😂😂😂😂
 
aisee
 
Kumbeee!!!!
 
Kumbe kupotea kwa Chila hii pia ndio chanzo. Chila ana old school Kali sana.
 
Ray C alizidi kunoga baada ya kupunguza lile limwili akarudi kwenye umodo .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…