Hujamsikia mambosasa?Njoo pm tupange weekend jogging
Sikiliza ngoja nikusaidie bure Bila malipo .huyo rafikio kalishwa madawa ya kumlaza akili kiufupi Bila kutegua hilo ataendeshwa Sana.
Ngoja nikupe dawa ya kumtegua huyo nduguyo arudi kwenye Hali yake na akili zake za kawaida.
Fanya hivi ongea nae akikubali sawa au ambatana nae wewe.
Huyo rafiki yako achukue chakula ambacho kimepikwa na huyo mke wake .uwe ni ugali au wali na mboga yake .aende nao chooni akalize chini sahani ya ugali/wali na sahani ya mboga pembeni .amege matonge na kuchovya kwenye mboga na kula ,matonge hata matano tu yanatosha.
Aisee muda huo huo madawa yote na mazindiko aliyofanyiwa na mkewe Yana ishiwa nguvu na kusambaratika.
Ufumba na kufumbua Akili zake zinamrudia hapo hapo .uzezeta unaisha maana ameshavunja maagano yote ya kishirikina aliyofanyiwa.
Atakuwa mkali kwa mwanamke ,mke ataleta amri na dharau zake hajui jamaa alisha vunja mazindiko yake na akili iko sawa.mme ataanza kutoa kipigo cha mbwa koko.
Heshima itarudi mke atanyooka.fanya hivyo msaidie .ongea nae msihi au hata ambatana nae umsimamie afanye hivyo.
Maana wengi wanaolazwa akili na wake zao huwa wagumu kupokea ushauri .ukimshauri jambo anaona kama unataka kumkosanisha na mkewe
Huyu mamboleo!Hujamsikia mambosasa?
kalembwani yupo mpaka leo?Ndiyo maombi au apelekwe kwa kalembwani,?
Nimehisi kumuhurumia tu, jitoe umsaidie kafungwa kishirikina ndo maana uanaume wake anauonyesha mbele za wengine na si mkewe maskini weee!! Hiyo yote inatokana na tamaa wanawake tujifunze kuridhika jamani[emoji24][emoji24][emoji24]imeniuma kiukweli hii imani ya kumroga mwanaume ili nimtawale,, haijawahi kuwepo kichwani kwangu Kwanza napenda kutawaliwa na dume, akorome aungurume ndani hivyo ndivyo mwanaume ameumbwa kuwa kwa mwanamke wake,
Sio mwanaume wa kusema ndio kwa kila neno aisee tuko tofauti nadhani
Mwanaume anahitaji umakini wa hali ya juu Sasa katika kuchagua mke wa kuoa kuliko sie wanawake
Pole na hongera kwa kuokoka, hilo la kwa waganga nitawaachia hao ndugu zake. Ingawa nilimwomba namba za mzee wake kidizaini kama anasita kutoa ila najua nitakavyo ipataMkuu huyo karogwa , mtafutie watalaam ( waganga) , au Kama VP nikuanganishe na mganga yupo Chanika wala Hana bei kubwa ( Kama laki mpaka laki na nusu) au pia naweza kuunganisha na waganga wawili wa Lindi ( gharama zao hazivuki laki pamoja na vifaa, unajua kwann nimejuana na hao , mi mwenyewe nilirogwa na mwanamke ( mke), nikasaidiwa na hao , ongea naye Kama Yuko tayari nicheck inbox, NB kuwa Makini dar waganga wengi wababaishaji,Ila jaribu kumforce maana huyo akili yake haiko vizuri
Jamani jamani ningelamba uteuzi kimaskhara tu, barikiwa mkuuDaah[emoji1430]ningekuaa jiwe ningekupaa cheo unaonekana, upo vizuri kwenye reasoning na saikoloj
Hapana, sio mlokole ila ni mcha Mungu tu . Pia siwezi kuingia kwenye mashindano nguvu nisizozijuaOk! Wewe ni mlokole?
Baby, wewe hauwezi kuwa kama huyo shetani wa kike. You're my everything ujue?Duh kama ni hivyo basi tena 😔😔
Kuna wanawake wanapenda sana madaraka ya wanaume yawe yao hapa ndipo hupelekea wao kupata tamaa ya kutafuta njia mkato itayofanya afanikiwe katika kutwaa hayo madaraka hapa ndipo tatizo lilipo kwanza atauliza kwa marafiki zake huko atapata tu mmoja ambae atampa akili ya kumpeleka sehemu ambayo huyo rafiki yake nae ndipo anapofanyia mambo yake anakua na uhakika na analofanya hapo ndipo linapotokea swala la kuchotwa akili kwa mwanaume kama hayupo vizuri katika kinga za mwili wake kuhusiana na mambo ya ulozi,niliwahi ona visa kadhaa vya hivyo kimoja mtu baki na binti ambae alikua mfanyakazi kati ya miradi ya familia alikua ana kibatari chake anachomlipulia bwana wake ambae ana mke na mke nae hakua haba ikawa wanashindania kwenye mwili wa jamaa ilifika kipindi jamaa watu wa nje mnamuona kabisa hayuko sawa sawa,kisa kingine katika famili mzee na mama wa kufikia aisee haya mambo yaone tu kwingine yanaaikitisha na kutia hasira sana sana kama una roho nyepesi unaweza mkata mtu makofi hata kama si mkeo sababu tu ya alichofanya lilipofika swala mzee nilipapambana mwenyewe maana wadogo zake kila nikiwaambia muhangaikieni kaka yenu kuna moja mbili tatu nao walikua kama wametulizwa nilipambana mwenyewe kwasasa imekatika miaka mzee aliondoka na kuanza upya sijawahi mwambia yeyote kama nilipambania mwenyewe hadi kuchomoka kwa mzee na sasa ana maisha yake huru...mpambanie rafiki yako iwe kwenye maombi iwe kwenye nini hakika wewe ndie njia yake ya kuokolewa kwenye hilo janga usipuuzie kabisa kabisa mateso makubwa sana hayo.Kuna watu hapa duniani wanapitia maisha magumu kwenye ndoa.
(Samahani mimi sio mwandishi mzuri wa story)
Kuna mwenzangu tulisoma naye O level, mimi niliendelea A level na yeye akaenda DIT kipindi hicho ikiitwa Dar Tech, hatukuonana miaka mingi sana na sikujua yupo wapi. Kwa bahati tu nikawa nimepata uhamisho kwenda ofisi nyingine, nikamkuta jamaa pale ofisi na ana madaraka makubwa kuliko mimi.
Na wafanyakazi wa pale anawanyanyasa sana ila wakaona kwangu ni tofauti kabisa akiniona au akiwa anatoa majukumu kwangu huwa anakuja kuniomba labda kwakuwa najua kila kitu chake na najua uwezo wake kwenye fani ile maana tuna fani moja.
Nikaambiwa huyo bosi hana ushirikiano na wenzake hata michago ya kijamii hatoi, kwahiyo watu wanamwangalia tu ngoja apatwe na tatizo tutamkomesha haswa. Kusikia hivyo nilishtuka sana ila nikasema labda ni maneno ya watu kwakuwa ni mgeni.
Pia niliambiwa kuwa hawajawahi kumuona anakula chochote mpaka anatoka kazini.
Kuhusu chakula nikanza kwenda ofisi kwake kumwita kuwa twende tukanywe chai na chakula kwa muda wa wiki hivi akagomesha kuwa hanywi chai wa chakula kwenye restaurants za hapa kazini kuwa sio safi kumbe alikuwa anaogopa kununua.
Ikapita kama mwezi nikamwambia twende tutoke nje kuna sehemu nimeona chakula kizuri nitakununulia jamaa akakubali kwa shingo upande tukaenda tukala, kesho yake ikawa hivyo hivyo na kuendelea, mpaka ikafika muda akawa anakuja ofisini kwangu kuniambia twende kula ila yeye ni kuagiza tu kulipa ananiangalia mimi ndo nilipe ikaenda kama kwa muda wa miezi miwili na nusu kama sikosei kwa hali hiyo mpaka nikasema kumbe nilifanya kosa kumwambia siku ya kwanza nitakununulia chakula.
Ila nikajipa moyo kuwa mbona nyumbani nina watu wengi na sio watoto wangu ila wanakula na kushiba na wala sijafirisika, ngoja tuende hivyo hivyo pia muda wangu wa kukaa pale kazi ikuwa unaisha narudi kofisi za mwanzo ko isinipe tabu.
Kuna siku tukiwa tunafanya kazi moja nikaamua kumueleza jinsi wafanyakazi wenzake wanavyomsema kuhusu kuwanyanyasa na kutokuwa na ushirikiano katika mambo ya kijamii, alishtuka kiasi akasema kwa mshangao, "kumbe!''
Akawa kama mtu aliye changanyikiwa akaongeza sauti ya juu kuwa achana na wale hawana elimu niwajinga tu na hawanisaidii chochote.
Nikamwambia hapana kuna umuhimu wa kukaa vizuri na jamii maana unaweza ukapatwa na tatizo ikashindikana kusaidiwa, nikampa mfano itokee mtoto wako au mke wako amepungukiwa damu na wafanya kazi wenzako wakagoma kujitolea utajisikiaje?
Hapo akatulia kwa muda bila kuongea na mimi nikajifanya nipo busy na simu yangu.
Baada ya dakika kama tano hivi akanimbia wewe kweli ni rafiki mzuri umeongea jambo jema huku akionekana ubongo wake kama ame RESTORE TO FACTORY SETTINGS.
Akaniamia ngoja nikuambie rafiki, sio kuwa sipendi kushirikiana na wenzangu ila saivi sina pesa angalia hata uvaaji wangu sio ule ulionizoea.
Hapo nikashtuka tena huyu mtu anaongelea nini wakati mshahara wake umenizidi kama 500k kutokana na madaraka aliyonayo pia ana allowance nyingi kuzidi mimi? Ikabidi nicheke na kusema acha utani ndugu.
Akanza kujifikicha macho kama mtu anayejifuta machozi na sauti ikabadilika kuwa ya upole na kuanza kuniambia kuwa yeye hana madaraka na mshahara wake wala posho zake bali mke wake ambaye ni mama wa nyumbani yeye ndo ENGINEER wa mambo yote.
Akaendelea kusema kuwa yeye ana pewa elfu 45 tu kama nauli ya usafiri, na anaambiwa kuwa chakula akale home tu, akifika huwa ananushwa kama amekula huko nje na ikigundulika hapewi chakula siku hiyo nzima.
Pia akaniambia ndo maana kila akila nje lazima apige mswaki ili mke wake asijue maana hata akila muhindi tu ni shida. Na wakati mwingine huwa anatembea kwa mguu umbali wa lisaa na nusu akikosa nauli.
Nikampa mpole huku nikishangaa maisha anayopitia mtu anaye pata mshara wa 3M.
Nikamuliza una nyumba ngapi maana gari nilijua hana, kwa Ubahili huo na muda alio fanya kazi ni mrefu maana aliajiriwa akiwa na diploma ila alijiendeleza akiwa kazini.
Akanijibu bado amepanga ila gari alimnunulia mke wake na hairuhusiwi yeye kulitumia kwa shughuli yoyote ile labda mke wake ndo ampeleke na gari.
Akaniambia kuwa akifika nyumbani huwa hana amani pia anamuogopa mke wake kama yupo na simba nyumba moja, ndo maana huwa anachelewa kutoka kazini.
Nikamuliza unaishi vipi na mtu unaye muogopa? Akasema akiwa huku nje huwa hogopi na unakuta anapanga akilini mwake kuwa nikifika home nitaenda kufanya mapinduzi na kumfukuza mwanamke ila akifika tu home anakuwa mnyonge ila anakuwa na uelewa wa kwake kabisa ila anamuona mke wake kama simba.
Pia yeye akaniuliza sijui nifanyaje, ingawa siku hizi uwoga umeanza kupungua kiasi chake na anaweza kubishana naye ila kwa uwoga sio kama mwanzo ambapo kila kitu ni kuitikia kwa kichwa maana alikuwa anaogopa kutoa sauti asije pigwa na mke wake.
Tuliongea mengi na mwishowe nikabaki kuumpa pole tu nilishindwa kumpa ushauri wowote, na muda wangu wa kukaa hapa umekaribia kumalizika.
Sikuamini niliyo ambiwa ila kweli kuna watu wanapitia magumu katika ndoa. Muombe Mungu yasije kukukuta ya kupewa 45k out of 3m kwa mwezi.
Kwenu wapi?maana ndugu na jamaa wasije wakaingia kichwa kichwa kuchepuka wakasahaulishwa hadi familia zao kwa limbwata la mchepukoAcha kabisaaaah kwetu kuna kila aina ya mambwata, mwanaume anamuonesha mkewe kila kitu, had mshahara wote anapanga bajeti mke.
Dunia chungu hii, hizi ndoa ni hatareeeeh lol
Nioneshe huyo mwanamke ,bunduki yangu aijafanya kazi muda,funzo wana tuwe makini natunao waoa.......Kuna watu hapa duniani wanapitia maisha magumu kwenye ndoa.
(Samahani mimi sio mwandishi mzuri wa story)
Kuna mwenzangu tulisoma naye O level, mimi niliendelea A level na yeye akaenda DIT kipindi hicho ikiitwa Dar Tech, hatukuonana miaka mingi sana na sikujua yupo wapi. Kwa bahati tu nikawa nimepata uhamisho kwenda ofisi nyingine, nikamkuta jamaa pale ofisi na ana madaraka makubwa kuliko mimi.
Na wafanyakazi wa pale anawanyanyasa sana ila wakaona kwangu ni tofauti kabisa akiniona au akiwa anatoa majukumu kwangu huwa anakuja kuniomba labda kwakuwa najua kila kitu chake na najua uwezo wake kwenye fani ile maana tuna fani moja.
Nikaambiwa huyo bosi hana ushirikiano na wenzake hata michago ya kijamii hatoi, kwahiyo watu wanamwangalia tu ngoja apatwe na tatizo tutamkomesha haswa. Kusikia hivyo nilishtuka sana ila nikasema labda ni maneno ya watu kwakuwa ni mgeni.
Pia niliambiwa kuwa hawajawahi kumuona anakula chochote mpaka anatoka kazini.
Kuhusu chakula nikanza kwenda ofisi kwake kumwita kuwa twende tukanywe chai na chakula kwa muda wa wiki hivi akagomesha kuwa hanywi chai wa chakula kwenye restaurants za hapa kazini kuwa sio safi kumbe alikuwa anaogopa kununua.
Ikapita kama mwezi nikamwambia twende tutoke nje kuna sehemu nimeona chakula kizuri nitakununulia jamaa akakubali kwa shingo upande tukaenda tukala, kesho yake ikawa hivyo hivyo na kuendelea, mpaka ikafika muda akawa anakuja ofisini kwangu kuniambia twende kula ila yeye ni kuagiza tu kulipa ananiangalia mimi ndo nilipe ikaenda kama kwa muda wa miezi miwili na nusu kama sikosei kwa hali hiyo mpaka nikasema kumbe nilifanya kosa kumwambia siku ya kwanza nitakununulia chakula.
Ila nikajipa moyo kuwa mbona nyumbani nina watu wengi na sio watoto wangu ila wanakula na kushiba na wala sijafirisika, ngoja tuende hivyo hivyo pia muda wangu wa kukaa pale kazi ikuwa unaisha narudi kofisi za mwanzo ko isinipe tabu.
Kuna siku tukiwa tunafanya kazi moja nikaamua kumueleza jinsi wafanyakazi wenzake wanavyomsema kuhusu kuwanyanyasa na kutokuwa na ushirikiano katika mambo ya kijamii, alishtuka kiasi akasema kwa mshangao, "kumbe!''
Akawa kama mtu aliye changanyikiwa akaongeza sauti ya juu kuwa achana na wale hawana elimu niwajinga tu na hawanisaidii chochote.
Nikamwambia hapana kuna umuhimu wa kukaa vizuri na jamii maana unaweza ukapatwa na tatizo ikashindikana kusaidiwa, nikampa mfano itokee mtoto wako au mke wako amepungukiwa damu na wafanya kazi wenzako wakagoma kujitolea utajisikiaje?
Hapo akatulia kwa muda bila kuongea na mimi nikajifanya nipo busy na simu yangu.
Baada ya dakika kama tano hivi akanimbia wewe kweli ni rafiki mzuri umeongea jambo jema huku akionekana ubongo wake kama ame RESTORE TO FACTORY SETTINGS.
Akaniamia ngoja nikuambie rafiki, sio kuwa sipendi kushirikiana na wenzangu ila saivi sina pesa angalia hata uvaaji wangu sio ule ulionizoea.
Hapo nikashtuka tena huyu mtu anaongelea nini wakati mshahara wake umenizidi kama 500k kutokana na madaraka aliyonayo pia ana allowance nyingi kuzidi mimi? Ikabidi nicheke na kusema acha utani ndugu.
Akanza kujifikicha macho kama mtu anayejifuta machozi na sauti ikabadilika kuwa ya upole na kuanza kuniambia kuwa yeye hana madaraka na mshahara wake wala posho zake bali mke wake ambaye ni mama wa nyumbani yeye ndo ENGINEER wa mambo yote.
Akaendelea kusema kuwa yeye ana pewa elfu 45 tu kama nauli ya usafiri, na anaambiwa kuwa chakula akale home tu, akifika huwa ananushwa kama amekula huko nje na ikigundulika hapewi chakula siku hiyo nzima.
Pia akaniambia ndo maana kila akila nje lazima apige mswaki ili mke wake asijue maana hata akila muhindi tu ni shida. Na wakati mwingine huwa anatembea kwa mguu umbali wa lisaa na nusu akikosa nauli.
Nikampa mpole huku nikishangaa maisha anayopitia mtu anaye pata mshara wa 3M.
Nikamuliza una nyumba ngapi maana gari nilijua hana, kwa Ubahili huo na muda alio fanya kazi ni mrefu maana aliajiriwa akiwa na diploma ila alijiendeleza akiwa kazini.
Akanijibu bado amepanga ila gari alimnunulia mke wake na hairuhusiwi yeye kulitumia kwa shughuli yoyote ile labda mke wake ndo ampeleke na gari.
Akaniambia kuwa akifika nyumbani huwa hana amani pia anamuogopa mke wake kama yupo na simba nyumba moja, ndo maana huwa anachelewa kutoka kazini.
Nikamuliza unaishi vipi na mtu unaye muogopa? Akasema akiwa huku nje huwa hogopi na unakuta anapanga akilini mwake kuwa nikifika home nitaenda kufanya mapinduzi na kumfukuza mwanamke ila akifika tu home anakuwa mnyonge ila anakuwa na uelewa wa kwake kabisa ila anamuona mke wake kama simba.
Pia yeye akaniuliza sijui nifanyaje, ingawa siku hizi uwoga umeanza kupungua kiasi chake na anaweza kubishana naye ila kwa uwoga sio kama mwanzo ambapo kila kitu ni kuitikia kwa kichwa maana alikuwa anaogopa kutoa sauti asije pigwa na mke wake.
Tuliongea mengi na mwishowe nikabaki kuumpa pole tu nilishindwa kumpa ushauri wowote, na muda wangu wa kukaa hapa umekaribia kumalizika.
Sikuamini niliyo ambiwa ila kweli kuna watu wanapitia magumu katika ndoa. Muombe Mungu yasije kukukuta ya kupewa 45k out of 3m kwa mwezi.
kwani umeambiwa utaoa mwanamke baunsa kama wa jamaaNdo maana mimi sitaoa Forever ushenzi gani huu tunafanyiwa na Madem.
Poa mkuu jaribu kumsadia huyo jamaa , walimwengu ni wabaya sanaPole na hongera kwa kuokoka, hilo la kwa waganga nitawaachia hao ndugu zake. Ingawa nilimwomba namba za mzee wake kidizaini kama anasita kutoa ila najua nitakavyo ipata
Ubaya WA mtu hauchagui kabila , ingawa kuna makabila chronic kwa hayo mamboDah acha kutuchafua wapare.....mama na dada zetu hawapo hivyo kabisa