Kisa kipi kilikufanya ujute sana?

Watu wote pale hamna aliyekuwa anajua kwann tunaitwa na tulivokusanyika tukambiwa tukae chini ndo maafande wakaja na majina ya waliochana magodoro na sisi tuliochana uniform ndo tukajumuishwa na pia hamna aliyekuwa anajua kwamba tungeenda kusulubiwa na mijeledi siku kama ile ya kumaliza shule[emoji23][emoji23]
 

usingefanya Mkuu ungeghairi ukampa hela ukaondoka
 
Aiseeh haichoshi kujifunza. Elimu Dunia!
 
Kisa ambacho sintakaa nisahau ni hiki japokuwa ninavingi.

Nakumbuka mwaka 1995 nilianza Safari ya kwenda South na ktk hiyo safari nilisafiria na Teporary Passport ilikuwa ya kuishia nchi za Centrol yaani Zambia na nyingine kasoro nchi za Southern kama Zimbabwe.
Na baada kuingia boda la Zimbabwe nikakwama kuto kuingia na sheria za Zimbabwe zilikuwa ngumu sana.

Hapa ndo niliumiza akili namna ya kuingia na kutoka kuelekea South kweli niliweza kuruka Senyenge na bahati nzuri sikukamatwa.
Ikanibidi nitafute Gest sikufanikiwa kwani kwa Zimbabwe miaka hiyo ilikuwa harusiwi mtu kulala gest bila cheti cha ndoa ikanibidi nitulie chaka kwa ajili ya kesho itakuwaje.
Basi ule usiku nilipatajibu kesho nini cha kufanya.
Jibu lilikuwa hivi niichane ile Temporry Paper ili nisiwe na hati ya kusafiria na kweli niliichanachana na kuitupa pamoja na Begi na zile nguo za hovyo.
Ilipofika saa kumi na moja asubuhi nilirudi boda kuripoti kuibiwa bag lenye nguo pamoja na Passport.
Polisi Magration waliuliza ulipita hapa na passport yako uligonga muhuri nikawambia ndio basi kilichofuata nikaingizwa ndani nikapewa chai then baada kumaliza nikaambiwa nitulie walifanyie kazi.
Kazi ilianza kwani naona watu wanavyojituma basi ile issue iliendelea mwasho muda kama saa nane Mku wa Magresheni ananirudisha upande wa Zambia ili nirudi nilikotoka.
Kilichofuata nilimkatalia kurudi Zambia kwani sikuibiwa Zambia bali niliibiwa upande wa Zimbabwe nikamkomalia.
Baada kukataa akanirudisha upande wao kwani wale wa Zambia nao walinikataa kuendana na msimamo wangu.
Yule Mku akarudi ofisini huku akawa anakunywa Waini na muda ulivyozidi kwenda akawa amelewa.
Mwisho anakuja akaniambia chakukusaidia hapa ni mm kwenda ktk Ubalozi wangu ili nikapatiwe Passport nyingine.
Nikamkubalia baada kukubali alimwita afisa mmoja na kumpa maelekezo ili anichoree ramani na document ya kuonyesha kwa polisi kama ikitokea wamenikamata kufika ktk ubalozi pamoja na kuniombea lifti ya kufika Harare.
Haya yote yalifanyika na Safari kuelekea Harare ilianza nilifika kama saa nne usiku.
Baada ya hapo sikwenda Ubalozi kwani hapo ndo safari ya South ipoanzia
 
Duuh mkuu funguka kidogo [emoji30][emoji30]
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] what went wrong nigga !?
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji119]
 
[emoji849][emoji849][emoji849][emoji24][emoji24][emoji20]
 
Aiseee [emoji849][emoji20][emoji20][emoji20][emoji16]
 
Speak it out hata kwa I'd nyingine tupo hapa kwaajili ya kujifunza jamani msitunyime elimu

Huu Uzi nimeupenda sana zibarikiwe fikira za aliye uanzisha
 
Aiseee [emoji16][emoji119]
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Nimecheka Sana kmmk [emoji91][emoji16] [emoji16][emoji16][emoji119]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…