Kisa kipi kilikufanya ujute sana?

Najutia siku nilikua airport mtu akaomba nimsaidie kubeba mzigo kuleta Dar nikapewa mlangoni, kumbe ilikuwa ni poda. Shukuru kipindi iko airport hawajaweka scanner ya wanaofika.
Hii ishanikuta nikiwa nchi moja ya Asia...jamaa mmoja mnigeria ananiambia nisaidie kumpelekea mzigo yule kaka pale ndani. Wakati napokea niksikia sauti inaniambia usikubali kupokea kitu chochote unakuwa unacheck in...ghafla nikakimbia
 
"A man who hangs around a beautiful girl without speaking his intention ends up fetching water for guests at her wedding," an African proverb
 
Kuna ujinga wa kupita njia ya mkato niliufanya ukaja kuniharibia heshima.

Nilikosa Credit moja tu ili nipate sifa ya kupata nafasi ya Chuo. Kuna rafiki yangu akanisaidia nikapata cheti feki ambacho kilibadilishwa herufi moja tu C badala ya D ya Physics. Kikanisaidia kupata nafasi ya Masomo pale Muhimbili.

Baada ya kumaliza Chuo nilifanya ujinga wa kukitumia kile cheti feki kuombea kazi Serekalini badala ya kukitumia kile halisi. Sasa nikiwa kazini baada ya miaka mitano kazini nilichaguliwa kuwa mfanyakazi bora. Siku ya Mei mosi ambayo JPM alikuwa ndio mgeni rasmi, ilikuwa yeye ndio anikabidhi zawadi ya ufanyakazi bora ndio siku hiyo aliyotutumbua jipu. Aisee!.
 
Aisee!! pole sana
 

Pole sana, HP wako Gwamaka wa Simba Dormitory. Mlitutesa sana ule usiku[emoji3]
 
We utakuwa my college mate maana huo msala ulimkumba jamaa tukiwa chuoni
 
[emoji28][emoji28][emoji28]

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na mimi nishushe kisa changu

Form 6 kipindi hiki 2015 shule moja maarufu sana huko kaskazini mwa nchi kipindi cha campaign kijana nina mzuka na siasa huniambii lolote kwa lowassa. Kijana mpenda mabadiliko chadema ndani ya damu.

Mwezi wa 10 tukiwa shule ikaonekana kwamba shule nidhamu ni 0.
Umalaya kati ya wanafunzi kwa wanafunzi ndo balaa.
Wanafunzi wanaishi mtaani wamepanga.
Wanafunzi wanakunywa pombe.
Wanafunzi walikuwa wana tabia zote mbovu.

Kwa akili finyu walimu wakaona tatizo ni wanafunzi so wakaunda kamati ya kufatilia na kumaliza tatizo la nidhamu.

Mimi kwa upande wangu nilikuwa nna matatizo yafutayo
1. Umalaya
Kwa vile nilikuwa alevel nilikuwa nawatia watoto wa olevel kwenye msitu wa shule kama sina akili nzuri.

2.UTORO
nilikuwa mtoro.shule ilikuwa jiran na home so nilikuwa nalala home.

Ukichangia na mzuka wa siasa wazo la riots likanijia.
Siku ya nuksi ikafika..
Ile kamati ikapelekewa majina ya wahuni wote wa shule.
Nikiwa na uhakika na mimi jina langu halikosekani coz nilikuwa natoroka kwa uwazi kabisa.

Siku ya 1 wanafunzi wenye shida wakaitwa kwenye kamati wakafukuzwa shule bila hata kujitetea.

Siku ya pili zoezi lilikuwa linaendelea na aura yangu ilinionyesha hiyo siku sitopona.
Nikawa nimechanganyikiwa.

So siku hiyo nikawa nimesurika.
Usiku tukiwa hostel tunajadiliana inakuwaje sasa mbona wahuni wanafukuzwa..
Sisi wenyewe hatujui kama tutabaki.
Mshikaji wa Senzo akaja na wazo bora zaidi kuwahi kulipokea.

HIVI KWANINI NA SISI TUSIANZISHE RIOTS KWA KUELEZA TABIA MBOVU ZA WALIMU

WALIMU WALIKUWA WAHUNI KULIKO HATA WANAFUNZI.
Tena ndo walikuwa malaya kupitiliza.

Basi mshikaji alivyoleta hilo wazo zikaletwa rim paper tukaanza kuandika changamoto za walimu zote.
Vile vipeperushi tukavisambaza shule nzima usiku huo huo.
Kwenye kipeperushi tulikuwa tunaandika jina la mwalimu na denti anayemla.

Tulionyesha pia tabia zingine za walimu kama uvivu wa kutoingia class etc.

Nikasambaza vipeperushi vyangu kote. Then nkasepa zangu nkaenda home kulala.

Saa 11 mlinzi kashtuka akaviokota vyote akapeleka kwa headmaster.

Mimi saa 2 nkafika skul sina stress wala ikabidi form 6 tuitwe kikao cha dharura.

Ile kamati ikavunjwa ikabidi sasa msala uhamie kwa walimu. Na hapo msala wetu ukawa umeisha

Ninachojutia ni kwamba kuna walimu zaidi ya 5 walipoteza kazi hiyo siku. Coz wale wanafunzi walivyoitwa walikiri kuwa wanatiwa na hao walimu mbele ya kamati.
 
Ungewapa ule mstari wa biblia wa samehe saba mara sabini.

Ila ni ngumu kufuatisha maneno ya vitabu hadi Sista kashindwa?
 
Hongereni sana, "dawa ya msaliti ni kifo "hao walimu walikuwa wasaliti kwa wahuni wenzao.
 
Hii ishanikuta nikiwa nchi moja ya Asia...jamaa mmoja mnigeria ananiambia nisaidie kumpelekea mzigo yule kaka pale ndani. Wakati napokea niksikia sauti inaniambia usikubali kupokea kitu chochote unakuwa unacheck in...ghafla nikakimbia

Yaah ukizubaa unabebeshwa sembe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…